manual n nzuri ila sku ukitaka kuiuza uatahangaika sana kupata mtejaChombo Nimeielewa Manual
Gear Tele Mpaka Raha, Ukiingia Barabarani Unamwaga Maji Golini Tu. Hongera Sana, Usisahau Kuifanyia Ibada Ndogo
Watu Wanapenda Automaticmanual n nzuri ila sku ukitaka kuiuza uatahangaika sana kupata mteja
sanaWatu Wanapenda Automatic
Hiyo Ndoa Ya Kikristo
kwa nn manual ina bei kuliko auto?Manual ni gari ya bei juu kuliko automatic mzee. Na hio 14M ni before Tax. Ikitua anaongezea hela.
Ukistaajabu unaweza shangaa ya automatic kwa mwaka huo huo inauzwa 7M before tax.
dogo una habari hiyo gari imekuzidi umri? anyway timiza ndoto yako
sijanunua gari kwa malengo ya kuja kuiuza baadae..nimenunua kwa kurahisisha kazi zangu za kila sikumanual n nzuri ila sku ukitaka kuiuza uatahangaika sana kupata mteja
Manual gharama ya kulitunza iko chini mno compared na automatic motor. Pia inahimili mazingira magumu ya uendeshaji.kwa nn manual ina bei kuliko auto?
Mkuu, hii Carina yako isijekuwa umefungiwa gearbox ya Scania.. Maana siisomi kabisa!Baada ya muda mrefu kuteseka na daladala hatimaye Nimeagiza chuma , chombo ipo kwa bahari unakuja inavuka bahari kutoka Japan
View attachment 1626450View attachment 1626451
Nimenunua manual ili kuepuka kuazimwa ovyo .
Chombo iyo 14m lazima niwatembezee moto
gear box ya scania kivipi mkuu?Mkuu, hii Carina yako isijekuwa umefungiwa gearbox ya Scania.. Maana siisomi kabisa!
Jifunze. Real men drive three pedalsKwa machizi boti lazma wataazima chombo tu hasa wale wazee wa 3 pedals. πππ!!!
Kwamie binafsi ntaangalia tu chombo ya fundi maana sina ujanja wa kukoroga stiki. Nmeshazoea kuendeshea herufi pendwa (D) sio kuendesha kwa namba.
Nije nikitekenyeDuuh, umenipa amsha amsha..... baada ya kuona picha ya kirungu cha gia ki-antena changu kimetetemeka hadi joto la mwili likapanda ghafla....
Mimi naonja tuUmechelewa, Jordan anakishughulikia tangu jana uthikuu.
Jordan utamsahau kbsAahahahahahhaa kila la kheri iwapo Jordan atakuruhusu.