Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Mkuu hizo Carina GT zina gear 6 kwa manual jamaa yupo sahihi kabisa.Huo mpangilio wa gear, sio wa gari ndogo.
Mimi nimeziona mbili zenye gear 6 hapa hapa Bongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hizo Carina GT zina gear 6 kwa manual jamaa yupo sahihi kabisa.Huo mpangilio wa gear, sio wa gari ndogo.
Inategemea na uzoefu wako wa kuendesha manual car. Kama ni gari yako ya kila siku sidhani kama itakupa shida kwa sababu unakua umezoea jinsi ya kubalance clutch na mafuta.mzee, ukitaka uichukie tthree pedals basi kutana na foleni mliman afu nyuma yako kuna gari imekusogelea ziro distance asee ile kasheshe sio kabisa
Inaonekana zinatembea balaaMkuu hizo Carina GT zina gear 6 kwa manual jamaa yupo sahihi kabisa.
Mimi nimeziona mbili zenye gear 6 hapa hapa Bongo.
kiukweli hata mm nimeshangaa yan 6 gears
Huo mpangilio wa gear, sio wa gari ndogo.
Yap Suzuki jimny nayo ilikuwa manual ilishakufaga baada ya kugongwa na trainushawahi miliki gari before?
Mkuu hizo Carina GT zina gear 6 usishangae.kiukweli hata mm nimeshangaa yan 6 gears
14 milioni Kwa Carina ya 1999?
Why??
Zipo vizuri Kwa kutembea injini yake ni kama ya kwenye Corolla Levin na Sprinter 4A-GE hizi hata bila mod zinakupa burudani murua zina 5 valve per cylinder.Inaonekana zinatembea balaa
Haya sasa kumbe ni chai tu as usual.UONGO UONGO MKUBWA
HIYO GARI HADI SASA HIVI HAIJALIPIWA IPO SOKONI KWA YEYOTE
Anyone can google BH328622 BEFORWARD
Manual kwenye kilima inahitaji hesabu kubwa sana hukawii kugonga gari ya nyuma yako.mzee, ukitaka uichukie tthree pedals basi kutana na foleni mliman afu nyuma yako kuna gari imekusogelea ziro distance asee ile kasheshe sio kabisa
saaanaaaaManual kwenye kilima inahitaji hesabu kubwa sana hukawii kugonga gari ya nyuma yako.
duhMkuu hizo Carina GT zina gear 6 usishangae.
Hata mimi niliwahi kushangaa kuona Porsche 911 ina gear 7 manual.
Umezaliwa mwaka gani?Baada ya muda mrefu kuteseka na daladala hatimaye Nimeagiza chuma , chombo ipo kwa bahari unakuja inavuka bahari kutoka Japan
View attachment 1626450View attachment 1626451
Nimenunua manual ili kuepuka kuazimwa ovyo .
Chombo iyo 14m lazima niwatembezee moto
we mwanamke unapenda ngono kuliko ngono yenyewe inavojipenda[emoji3]
1. Kumbika inatumia mafuta hiyo!!Baada ya muda mrefu kuteseka na daladala hatimaye Nimeagiza chuma , chombo ipo kwa bahari unakuja inavuka bahari kutoka Japan
View attachment 1626450View attachment 1626451
Nimenunua manual ili kuepuka kuazimwa ovyo .
Chombo iyo 14m lazima niwatembezee moto