Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kama mtu anaweza kuua watu wengi kwa bio weapons, terrorism, hilo dome ni obsolete tayari.Ni kwel chief nakuunga mkono kwenye mengi uloyasema .Hasa kwenye ishu ya diplomacy na engagement.U r absolutelly right.
But let us come back to iron dome perfomance specs.Do u really understands when we talk about efficiency of 90%. i assume u r aware that there is no machine of 100% efficiency/perfect machine.
So about this 10% inefficiency,do u think it is soo obvious to be taken advantage by attackers? It is unknown.. so it is not practical kwa maadui to sit and design the offensive weapons basing on the 10% inefficiency of their target.And yet even the rockets are not 100% efficient.
Ku critisize efficiency ya 80-90% ni ku dependon chances kitu ambacho si sawa
Linaweza kuwa necessary kuzuia attacks za air, lakini unafikiri adui akijua umeziba dhidi ya air attacks kwa 90% efficiency - which we can say is impressive if proven to be actual - na adui akijua njia rahisi zaidi ni kuingia kwenye basi na kujilipua au kutega bomu, au kutumia bio weapon, unafikiri atatumia kombora litakalozuiwa na hilo dome?
I don't think so.