cosa nostra
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,773
- 1,805
umiss aliupata kwa bahati mbaya hivyo hata hilo gari wamempa kwa bahati nzuri tu.
Mbaya zaidi gari limejaa matangazo.Kuna vitu ni bora ukajihesabu huna halafu ukaweka bidii kuvitafuta, hivi unaweza kuwaambia wenzio una gari halafu ukawaonesha hili?!
SASA HIYO NI GARI AU NI BANGO LINALOTEMBEA?
tunabana matumizi kama mukuluNdio miss Tanzania imefikia huku!!!!!??? Mweh
View attachment 507669 View attachment 507670 anabahati sana angepewa toyo huyu
anaonekana na yeye ana dhiki sana ndio maana wanambuluza hadi matopeniHizi ni dharau kwanin asilikatae tuu