Watanzania tumekuwa matapeli kwa kweli uyu binti alipewa ahadi ya New IST sasa gari sijui nani kauchomoa kwake kuficha aibu ya ahadi .kwa kweli ulosema ni wakati wa zoa zoa sasa Edward umekuwa zoa zoa .uwiiiiiiii tuwe na heshima kidogo binti kajitoa sana mmmmmm hashimu hapo kachemka