The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Mojawapo ya faida ya umeme wa uhakika ni viwanda..Safi
Hongereni kigoma na hongera kwa Waziri Makamba
Wakazi wa Kigoma sasa acheni ubahili nendeni Tanesco muunge umeme nyumba zenu
Msianze ohhh Sisi tulizoea magenereta hatukubali!! Kuunga umeme Tanesco
Dunia hii wabishi hadi kwenye maendeleo ni makabila mawili waha na wenzao wakiongea harufi mbili mbele ya Waha wanaoitwa Wahaya yaani ni Waha walioongeza "ya "mbele ya jina "waha" kuwa wahaya kuwa wao kiboko zaidi ubishi kuliko.waha.Lakini waha na wahaya ni walewale tu kwa ubishi sema wahaya funga kazi sababu walioongeza neno ya mbeleni ya jina waha
Kwani wakati wanatumia majenereta hawakuwa wanatumia mitaHongereni kigoma na hongera kwa Waziri Makamba
Wakazi wa Kigoma sasa acheni ubahili nendeni Tanesco muunge umeme nyumba zenu
Msianze ohhh Sisi tulizoea magenereta hatukubali!! Kuunga umeme Tanesco
Dunia hii wabishi hadi kwenye maendeleo ni makabila mawili waha na wenzao wakiongea harufi mbili mbele ya Waha wanaoitwa Wahaya yaani ni Waha walioongeza "ya "mbele ya jina "waha" kuwa wahaya kuwa wao kiboko zaidi ubishi kuliko.waha.Lakini waha na wahaya ni walewale tu kwa ubishi sema wahaya funga kazi sababu walioongeza neno ya mbeleni ya jina waha
Swala sio mita bali umeme mkubwa unafungua fursa zaidi za uwekezaji mkubwa kwenye viwanda nkKwani wakati wanatumia majenereta hawakuwa wanatumia mitSwa