The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Bila shaka Kazi inaendelea..
Kwa mara ya kwanza Mkoa wa Kigoma umepata rasmi Umeme wa Gridi ya Taifa baada ya Kazi nzuri ya Wizara ya Nishati.
Hii itasaidia kusimwa kwa mitambo ya mafuta na kupata wawekezaji rasmi wa viwanda vikubwa.
Ikumbukwe kampuni ya Intracom ya Burundi ilisema inakusudia kujenga kiwanda cha saduji mkoani huko kwa zaidi ya Bil.500 lakini mradi haukuwa fast tracked kwa sababu za kutokuwa na uhakika wa Umeme.
Waziri Makamba anaendelea kuwaumbua Chadomo 👇
Kwa mara ya kwanza Mkoa wa Kigoma umepata rasmi Umeme wa Gridi ya Taifa baada ya Kazi nzuri ya Wizara ya Nishati.
Hii itasaidia kusimwa kwa mitambo ya mafuta na kupata wawekezaji rasmi wa viwanda vikubwa.
Ikumbukwe kampuni ya Intracom ya Burundi ilisema inakusudia kujenga kiwanda cha saduji mkoani huko kwa zaidi ya Bil.500 lakini mradi haukuwa fast tracked kwa sababu za kutokuwa na uhakika wa Umeme.
Waziri Makamba anaendelea kuwaumbua Chadomo 👇