Hatimaye MPWAYUNGU VILLAGE kaondolewa BAN

Nitakula sahani moja na wewe mwanaume mbea mbea tuu ndo nini kuwaita mods ili iweje. Hivi umelelewaje wewe
Unanijia juu ya nn sasa mkuuuu

Au ngoja nikuweke kwenye ignore list yangu ๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ๐Ÿคข๐Ÿคข๐Ÿคข RIP in advance ukae huko kwenye gereza tupu usinisumbue tena

Tutaonana KIAMA KWAHERI
 
Ukituliza akili na hisia utagundua mpwayungu village huwa hana lengo la kutukana wala kudhalilisha walimu Bali hutumia ujumbe wa ukweli mchungu kupaza sauti za walimu Kwa serikali.

Amini nakwambia, viongozi wakubwa wa nchi hupita huku Jf kusoma nyuzi mbalimbali na wanazoona Zina mashiko huwa wanazichukua na kuzifanyia kazi. Na ndo maana unaona kupitia nyuzi za walimu hapa JF zimesababisha Hadi juzi kati hapo masilahi ya walimu kujadiliwa bungeni kupitia Kwa naibu waziri wa elimu ambapo alisema serikali ipo kwenye mchakato wa kuwalipa walimu "extra time/over time work allowance" in Swahili "Posho ya masaa ya kazi ya ziada"

Hivyo basi mpwayungu village inatakiwa apewe shukrani za dhati katika kupambania masilahi ya walimu maana wengi wao ni waoga hawawezi kupaza sauti zao hata Kwa mratibu elimu kata.

Karibu sana Mpwayungu Village mtetezi wa walimu Kwa njia ya ukweli mchungu.
 
Unanijia juu ya nn sasa mkuuuu

Au ngoja nikuweke kwenye ignore list yangu ๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ๐Ÿคข๐Ÿคข๐Ÿคข RIP in advance ukae huko kwenye gereza tupu usinisumbue tena

Tutaonana KIAMA KWAHERI
Hauto weza
 
Oooza nasikia wanaanza kuongezewa posho mkuu ni jambo la heri sana Mpwayungu Village shukran kwa mivhango yako japo uliliwa kichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ