The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni furaha yangu kuwajuza kuwa mwanetu
Mpwayungu Village kaachiliwa huru kutoka kifungo hivyo tutegemee walimu wetu kutukanwa na kuendelea kupondwa kila siku
Iitwapo leo
Tumkaribishe
Akiweza aombe radhiNi furaha yangu kuwajuza kuwa mwanetu
Mpwayungu Village kaachiliwa huru kutoka kifungo hivyo tutegemee walimu wetu kutukanwa na kuendelea kupondwa kila siku
Iitwapo leo
Tumkaribishe upya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaenda navyo vilabuni na kudanganya walevi kwamba wao ni maafsa usalama wa nchi na taifa kwa ujumla wake.
HaswaaaahUkituliza akili na hisia utagundua mpwayungu village huwa hana lengo la kutukana wala kudhalilisha walimu Bali hutumia ujumbe wa ukweli mchungu kupaza sauti za walimu Kwa serikali.
Amini nakwambia, viongozi wakubwa wa nchi hupita huku Jf kusoma nyuzi mbalimbali na wanazoona Zina mashiko huwa wanazichukua na kuzifanyia kazi. Na ndo maana unaona kupitia nyuzi za walimu hapa JF zimesababisha Hadi juzi kati hapo masilahi ya walimu kujadiliwa bungeni kupitia Kwa naibu waziri wa elimu ambapo alisema serikali ipo kwenye mchakato wa kuwalipa walimu "extra time/over time work allowance" in Swahili "Posho ya masaa ya kazi ya ziada"
Hivyo basi mpwayungu village inatakiwa apewe shukrani za dhati katika kupambania masilahi ya walimu maana wengi wao ni waoga hawawezi kupaza sauti zao hata Kwa mratibu elimu kata.
Karibu sana Mpwayungu Village mtetezi wa walimu Kwa njia ya ukweli mchungu.
Atakuja tu 😅😅😅Huu uzi mpaka sasa bila comment ya Mpwayungu Village ni BATILI.
Atakuja tu
Sikuwahi kuwatukana walimu hata siku moja, kama ipo lete ushahidi mezani. Asante sana Kwa kunikaribisha jukwani Mungu akubariki [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Ni furaha yangu kuwajuza kuwa mwanetu
Mpwayungu Village kaachiliwa huru kutoka kifungo hivyo tutegemee walimu wetu kutukanwa na kuendelea kupondwa kila siku
Iitwapo leo
Tumkaribishe upya
Shukran sana rafiki tumeku kumbuka sana. ,,,,,,,,Sikuwahi kuwatukana walimu hata siku moja, kama ipo lete ushahidi mezani. Asante sana Kwa kunikaribisha jukwani Mungu akubariki [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Karibu uendelee kuwapigania walimu mkuu. Shusha uzi,Sikuwahi kuwatukana walimu hata siku moja, kama ipo lete ushahidi mezani. Asante sana Kwa kunikaribisha jukwani Mungu akubariki [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Naomba linkThread Yake Aliyoianzisha Mods Wamezuia Comments
Huyu ni mwalimu,mi pia kanipiga bonge la Dislike.Evelyn Salt mbona dislike tena mami nini mbaya mkuuu