Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Asante sanaShukran sana rafiki tumeku kumbuka sana. ,,,,,,,,
Unakaribishwa sana humu ndani [emoji51][emoji51][emoji51]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sanaShukran sana rafiki tumeku kumbuka sana. ,,,,,,,,
Unakaribishwa sana humu ndani [emoji51][emoji51][emoji51]
Sikuwahi kuwatukana walimu hata siku moja, kama ipo lete ushahidi mezani. Asante sana Kwa kunikaribisha jukwani Mungu akubariki [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Asante sana [emoji120]Karibu uendelee kuwapigania walimu mkuu. Shusha uzi,
[emoji848] ila mpwayungu nadhani displine kwa sasa unayoAsante sana
Nipo vizuri my soldierKamanda Kamanda [emoji122][emoji122][emoji122][emoji3][emoji28]
Welcome to the World [emoji3]
Tulikumiss mno aisee!
Bila shaka uko kamili gado au siyo [emoji123]
Aaaahaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawashangaa mnavomshangilia my wii aje kututukana, mnainjoi eeeh...?Evelyn Salt mbona dislike tena mami nini mbaya mkuuu
Evelyn Salt mbona dislike tena jamani kwani uongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Tena ukute ni wa shule ya msingi ushirombo aseee noma sana
Mwalimu Mkuu wa Kiyungi Secondary.Ni furaha yangu kuwajuza kuwa mwanetu
Mpwayungu Village kaachiliwa huru kutoka kifungo hivyo tutegemee walimu wetu kutukanwa na kuendelea kupondwa kila siku
Iitwapo leo
Tumkaribishe upya
🤣🤣🤣🤣Acha basi kumbe alipata ajira nyeti huko sikujua aseee
Evelyn Salt pole mamyy sirudi tena 😅😝😝😎🤗🤗😉Evelyn Salt mbona dislike tena jamani kwani uongo 🤣🤣🤣🤣🤣
Ingia Jukwaa La Pongezi, MalalamikoNaomba link
Wewe hujui alicho nifanya asubuhi.Naona mmekutana watu wenye matatizo ya akili mnasapotiana,sasa apo umbea uko wap?!
Hivi huyu ndio yule alikuwa anatamani wajuba wampumulie kisogoni?