Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Mpwayungu huyu huyu?Ana undugu na yy mkuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwayungu huyu huyu?Ana undugu na yy mkuuu
Akiendelea tuna-delete account yake 😂Ni furaha yangu kuwajuza kuwa mwanetu
Mpwayungu Village kaachiliwa huru kutoka kifungo hivyo tutegemee walimu wetu kutukanwa na kuendelea kupondwa kila siku
Iitwapo leo
Tumkaribishe upya
Daaaah 😂😂😂Thread Yake Aliyoianzisha Mods Wamezuia Comments
wewe dada umetoka kijiji cha ludilo kata ya mdabuli?Mbea sana wewe siku tutapigwa ban wote tutakuachia jf yako. Mwanaume gani unakuwa mbea mbea hivyo
Ndiooowewe dada umetoka kijiji cha ludilo kata ya mdabuli?
Hivi huwaga mnakosa kazi au!?Aje tumemmis sana humu .
Huko kwenye ualimu kuna mabadiliko mengi aje atujuze.
Nasikia wanatakiwa waji upgrade la sivyo warudi darasani.
Serikali imeanisha Sifa na vigezo vipya vya walimu wa msingi Na sekondari.
Ambao hawana Sifa hawafukuzwa lakini wakasome.
Tuseme hapana ualimu pasipo elimu ya kutosha (UPE).
Watu hawana kazi mjomba nchi imejaa tegemeziMbea sana wewe siku tutapigwa ban wote tutakuachia jf yako. Mwanaume gani unakuwa mbea mbea hivyo
Mbona hatetei wagogo wenzie ambao ni ombaomba hapa nchini tangu uhuru mpaka Leo!? Percent kubwa ya ombaomba wa Dar ni wagogo mbona hawatetei!? Kwanini awe na uchungu na watu asio na nasaba nao awaache wagogo anaoshea nao tamaduni ,lugha,chakula,nk!??Ukituliza akili na hisia utagundua mpwayungu village huwa hana lengo la kutukana wala kudhalilisha walimu Bali hutumia ujumbe wa ukweli mchungu kupaza sauti za walimu Kwa serikali.
Amini nakwambia, viongozi wakubwa wa nchi hupita huku Jf kusoma nyuzi mbalimbali na wanazoona Zina mashiko huwa wanazichukua na kuzifanyia kazi. Na ndo maana unaona kupitia nyuzi za walimu hapa JF zimesababisha Hadi juzi kati hapo masilahi ya walimu kujadiliwa bungeni kupitia Kwa naibu waziri wa elimu ambapo alisema serikali ipo kwenye mchakato wa kuwalipa walimu "extra time/over time work allowance" in Swahili "Posho ya masaa ya kazi ya ziada"
Hivyo basi mpwayungu village inatakiwa apewe shukrani za dhati katika kupambania masilahi ya walimu maana wengi wao ni waoga hawawezi kupaza sauti zao hata Kwa mratibu elimu kata.
Karibu sana Mpwayungu Village mtetezi wa walimu Kwa njia ya ukweli mchungu.