Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
πππππHivi huyu ndio yule alikuwa anatamani wajuba wampumulie kisogoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππHivi huyu ndio yule alikuwa anatamani wajuba wampumulie kisogoni?
Karibu sanaa.Asante sana [emoji120]
Shukurani sana cocasticKaribu sanaa.
Walimu wanakusalimia, wanasema shujaa wao amerudiNipo vizuri my soldier
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wenye mgodi hawaandiki upuuzi humu mkuu wapo busy na maisha yao sio kufuatilia maisha ya wengineAcha basi mkuu huyu si ana wachukia walimu eti ana mgodi mererani [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] daaaah Mpwayungu noma sana
Ila hii nchi kwakweli ina wapumbavu wengi, ukiwemo wewe ye34nbe. Yaani unafurahia waliokutoa tongotongo kutukanwa? Walimu ambao hawajakufanyia kosa?Ni furaha yangu kuwajuza kuwa mwanetu
Mpwayungu Village kaachiliwa huru kutoka kifungo hivyo tutegemee walimu wetu kutukanwa na kuendelea kupondwa kila siku
Iitwapo leo
Tumkaribishe upya
Ni utani mkuuu usichukulie kila kitu seriously π π π π π πIla hii nchi kwakweli ina wapumbavu wengi, ukiwemo wewe ye34nbe. Yaani unafurahia waliokutoa tongotongo kutukanwa? Walimu ambao hawajakufanyia kosa?
Mimi nilidhani mngeanzisha ligi ya kuwatukana mafisadi,wala rushwa na wahujumu uchumi, ila kinyume chake mna ligi na Walimu? Hii ni nchi ya ajabu sana.
Jambo jingine:ni nyie ndio mnalalamika maadili ya vijana yameshuka, mara ushoga na usagaji unatishia mustakabali wa watoto wetu, yet Mwalimu ambaye ilipaswa kushirikiana naye ili kumnasua mwanao na kadhia hiyo wewe ndo kwanza unakomaa kumtukana na kumcheka? π€
Eti??May Mosi yote Mpwayungu hukuwepo hewani.
Walimu wamesema hawajui jinsi ya kutumia vishikwambi walivyopewa na Mwajiri wao! [emoji848]
Eti wanaomba wafundishwe jinsi ya kuvitumia!
Kwa njia ya semina au in-house?!
Usilete utani kwenye mambo ya msingi. Wadau wengi hatupendezwi na hayo mambo anayoyafanya Mpwayungu Village, maana hayafai kwa jamii iliyostaarabika.Ni utani mkuuu usichukulie kila kitu seriously π π π π π π
Utampatia wapi sasa mkuuuUsilete utani kwenye mambo ya msingi. Wadau wengi hatupendezwi na hayo mambo anayoyafanya Mpwayungu Village, maana hayafai kwa jamii iliyostaarabika.
Sasa yeye aje aendeleze upuuzi wake kama hajarudi lupango au akatusababishia na wengine twende lupango, maana niko tayari ku-deal naye.
Lupango ninayomaanisha hapo ni ban.Utampatia wapi sasa mkuuu
Huyu si Martin Luther king Jr