Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Blue alishawahi kum mind Diamond kujiita Simba akidai yeye ni wa kwanza kujiita hivyo
daah,hii familia kwa kweli ni shida unaweza ukapata vidonda vya tumbo kama ukigombana nao.😀😀😀😀Mmmh ngoja niweke vijembe vya leo insta duuh kuna mtu ana hali mbaya leoView attachment 791345 View attachment 791346 View attachment 791347 View attachment 791348
daah,hii familia kwa kweli ni shida unaweza ukapata vidonda vya tumbo kama ukigombana nao.😀😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmmh ngoja niweke vijembe vya leo insta duuh kuna mtu ana hali mbaya leoView attachment 791345 View attachment 791346 View attachment 791347 View attachment 791348
Blue alishawahi kum mind Diamond kujiita Simba akidai yeye ni wa kwanza kujiita hivyo
Bifu lilikua siri ya mleta mada peke yake kwa kweli.Mkuu hili bifu huenda ulikuwa aware nalo wewe tuuhh!!
Utoto tu anawasumbuaKwani hata pale mikumi simba yupo mmoja
Kwa mfuatiliaji wa bongo fleva haikua siri na Blue alikua anamponda Domo na Domo na watoto wa Kariakoo aliwaudhi alimzingua producer wake wa mwanzo Bob Junior ambaye ni ndugu na Rico ambaye ndio Godfather wa Blue na wanakariakoo kibaoBifu lilikua siri ya mleta mada peke yake kwa kweli.
Hawa jamaa wanazuga tu... Ukweli ni kwamba they got split kabisaa...Mmmh ngoja niweke vijembe vya leo insta duuh kuna mtu ana hali mbaya leoView attachment 791345 View attachment 791346 View attachment 791347 View attachment 791348
Pia ashawahi kumaindi mond kutembea na madem wote ambao blue kawapitia...Blue alishawahi kum mind Diamond kujiita Simba akidai yeye ni wa kwanza kujiita hivyo
Hawa jamaa wanazuga tu... Ukweli ni kwamba they got split kabisaa...
Hapo lazima mtu katembea kwa goti mpaka South...hakuna namna nyingine.
Really!!?Huu wimbo ulirekodiwa tangu zaman kabla ya mtoso,so baada ya mtoso wamejikuta hawana namna ya kuubania imebidi wautoe hivyo hivyo.
Ua jeusi lina maana kubwa hawaamini