Hatimaye Mr. Blue amuangukia Diamond Platnumz na kumuomba yaishe

Hatimaye Mr. Blue amuangukia Diamond Platnumz na kumuomba yaishe

Zaman nimesahau kidogo ila kati ya mwezi wa kwanza hivi ndo walishoot. Wameamua kuitoa mwez huu.

Kuna uzi humu uliongelea hii kitu watu wakadhan ni ndoa kweli kumbe maandalizi ya wimbo
Really!!?

Ila video ni Current!!?
 
Mbna wenyewe hawasemi nyie ndyo mnawaongelea kama walikuwa na bifu?

Bifu siku zote zinaletwa na mashabiki tu kwa ujinga wao
 
''Mbwa Koko hawang'ati'' ... Byser Babylon.

-Kaveli-
 
Diamond sio Mungu. Wapongezeni timu yake, sio yeye. Yeye ni bango tuuu.
 
Awali ya yote ngoja nicheke kihutu kwanza "Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii".

Kwa muda mrefu msanii Kheri Sameer (Mr Blue) amekuwa yupo kwenye bifu zito na Diamond Platnumz Simbaaaaaaaa ,mara kwa mara Blue amekuwa akimponda Diamond Platnumz lakini waswahili husema jibu la mjinga ni kumkalia kimya tu ipo siku ata erevuka,na siku zote kama unajua unajua tu watu watapiga kelele mwisho wa siku watanyoosha mikono bila kupenda.

Sasa bhana Diamond a.k .a mzee wa minyoosho anazidi kuwanyoosha tu watu , na mmoja mmoja anaanza kunyooka , alianza kunyooka ,Richi Mavoko,akafuatia H-baba ,akaja Baraka the Prince sasa zamu ya Mr Blue naye kanyooka bila kupenda ,Ha ha ha ha team Kiba inazidi kusambaratika tu, hapo amebaki Tundaman na adui kuu Ally Kibanio

Yani Blue kanyooka haswaaa ,tena kasindikiza na Caption Mungu ni mwema maana alijijua alichokuwa anakifanya ni kitendo cha kijinga ,kapitwa na fursa nyingi kwa kitendo chake cha kumchukia Diamond.

Diamond kiroho safi huwa hana hiyana siku zote ameupokea msamaha wa Mr Blue kwa moyo mkunjufu

View attachment 791314View attachment 791315
Kwani kuna habari gani?
 
Kwa mfuatiliaji wa bongo fleva haikua siri na Blue alikua anamponda Domo na Domo na watoto wa Kariakoo aliwaudhi alimzingua producer wake wa mwanzo Bob Junior ambaye ni ndugu na Rico ambaye ndio Godfather wa Blue na wanakariakoo kibao
Story za kusubiri Iftar hizi.
 
Sporah show ..blue alielezea mademu wote aliowapitia mond nae anawapitia...mond star wake blue kwa ajili mwanzo nae alikuwa anachana
 
Back
Top Bottom