kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 1,451
- 2,059
Bila VAR tulete majini au marobot hakuna mwanadamu atakae ona kila jambo sometime tujitathmini sisi mashabikh
Hongera mikia kwa kulazimisha saree,cha nguruwe kingekatikia ndani
Yanga ipiYanga watachukua ubingwa bila kufungwa mechi hata moja.
taja timu ya kuifunga yanga, mpaka sasa yanga ndio timu pekee ambayo haijafungwa.Yanga ipi
Naomba povu lako nikafulie nguo.Acha hizo bhana.
Huyu huyu aliwahi kuwanyimma Azam penalty ya wazi wakicheza dhidi ya uto.
Pia kuna kauli ya GSM kwamba Uto wasipochukua ubingwa asilaumiwe kocha,mchezaji,wala benchi la ufundi,bali alaumiwe yeye.
Kauli hii inafikirisha na hasa tunapoona upangaji wa waamuzi katika mechi muhimu.Kwa sasa sina shaka na mbinu chafu zinazotumika kuhujumu mchezo wa soka ili wale waliopokewa airport waonekane wanajua.
Kuna mpango wa kuumiza wachezaji muhimu wa Simba. Utaona wanavyowakamia kuwaumiza Luis na Morrison na hata chama.Na vitendo hivi vya maksudi havitolewi adhabu stahiki uwanjani.
Ya waamuzi na uto ni kama nec na ccm.Yako wazi sana
Nahisi gsm kawekeza kwenye kamati ya waamuzi ni bora hii kamati ifumuliwe haiwezekani marefa haohao kwa timu ileile wanarudia makosa yaleyaleAcha hizo bhana.
Huyu huyu aliwahi kuwanyimma Azam penalty ya wazi wakicheza dhidi ya uto.
Pia kuna kauli ya GSM kwamba Uto wasipochukua ubingwa asilaumiwe kocha,mchezaji,wala benchi la ufundi,bali alaumiwe yeye.
Kauli hii inafikirisha na hasa tunapoona upangaji wa waamuzi katika mechi muhimu.Kwa sasa sina shaka na mbinu chafu zinazotumika kuhujumu mchezo wa soka ili wale waliopokewa airport waonekane wanajua.
Kuna mpango wa kuumiza wachezaji muhimu wa Simba. Utaona wanavyowakamia kuwaumiza Luis na Morrison na hata chama.Na vitendo hivi vya maksudi havitolewi adhabu stahiki uwanjani.
Ya waamuzi na uto ni kama nec na ccm.Yako wazi sana
Ligi bado mbichitaja timu ya kuifunga yanga, mpaka sasa yanga ndio timu pekee ambayo haijafungwa.