Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Nimekuelewa sana mzee babaMwanamke yoyote anaweza kuwa loyal ikiwa hana options.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa sana mzee babaMwanamke yoyote anaweza kuwa loyal ikiwa hana options.
Hatuoi matako mkuu, tunaoa akili na tabia
💯🤝 maana huyo ni mtu ambaye mtaishi naye kila siku maisha yote mpaka kifo kiwatenganishe kama haujavutiwa naye ni janga mbeleniHakikisheni mnavutiwa na muonekano wa wenzi wenu pia, sio akili na tabia pekee.
Muonekano anao mzuri sanaMnaoa akili na tabia kisha vingine mtatafuta nje..?
Hakikisheni mnavutiwa na muonekano wa wenzi wenu pia, sio akili na tabia pekee.
We uoa tu akikubadilikia ruksa kuleta uzi mpya wa malalamiko JF ni yetu sote
Muonekano anao mzuri sana
Shukrani sana kaka!Kila la kheri katika maisha yenu mkuu.!
Shukrani, at least huyu niliopambana nae toka tukiwa gizani kuliko wengine ambao wamekuja baada Mimi ya kuanza kuona mwanga kidogoKwa jinsi ulivyompamba huyo jitwishe haraka,kabla hawajabeba wengine. Hapo ndio moyo wako ulipotulia.
Umeuliza swali hawezi kubadirika?. Kama unajua wanabadirika kama umeamua kuoa yoyote yule anaweza kubadirika. Kwa hiyo jitwishe huyo uliemzoea
Na kwa kuongezea, nyimbo vya hovyo hazitokuwepo, maana ni Wasabato, aisee nipe card nione harusi za kisabato...Sisi wasabato 😁😁
Hahaha kwaniniBasi hakuna ndoa hapo 😁
Ndio hivyoShukrani, at least huyu niliopambana nae toka tukiwa gizani kuliko wengine ambao wamekuja baada Mimi ya kuanza kuona mwanga kidogo
Kijana , oa card utampa mzee Majura atanifikishiaMuonekano anao mzuri sana
Umeshapata mkuu, mwisho saa 5Na kwa kuongezea, nyimbo vya hovyo hazitokuwepo, maana ni Wasabato, aisee nipe card nione harusi za kisabato...
Hahaha sawa,Kijana , oa card utampa mzee Majura atanifikishia
SDA hamnaga mambo mengi, yani nawakubali sana, hata madada zenu ni watulivu sana.Umeshapata mkuu, mwisho saa 5