Hatimaye naoa

Hatimaye naoa

Hongera, Mungu akakufanyie furaha na amani katika hatua hii mpya.
 
Mkuu una hasara yaani unaoa Ili jamii ijue unadindisha?Na kama pasona yako ningumu na unajua,niki kwambia huyo manzi nae yupo kama ww ila anaficha pasona yake hadi aolewe ndio aichie Utabisha?Tumia akili
 
Wakuu naoa mimi😂😂

Alooo 😂😂😂Kwanza ncheke

Naongea kwa utani kwasababu mimi nina masihara sana. Hadi sasa nina miaka 34.

Wadogo zangu wote walishaoa

Umri wangu walishaoa

Kila naemjua alishaoa

Nimesemwa sana aisee Wazazi walihisi sidindi daah. Ila nilikua sijapata mtu ambae hata wazo la kumuoa lilikua linakuja kichwani.

Kifupi kila niliokua nao Tulikua hatuendani.

Kuna binti mmoja sasa ndo nilivomuona nikasema namuoa.

KIFUPI TANGU SIKU YA KWANZA NILIVOKUTANA NAE nikajisemea huyu ndio mke wangu!

La haulaaaaa Ghafla imo ,,,ni mvumilivu ananivumilia yaan mm nina personality ngumu sana !! Yaan huwa najisemea hata ningekua mwanamke singeweza kuishi na mtu kama mimi”…..

Hali hyo ilinifanya nichelewe kuoa au kufuata mkumbo wa kuoa.

Naomba Mungu anilipizie maumivu yote.

Ndoa ikawe ndoa kweli kweli.

Nikatoe kizazi bora.

Siku nitazame subira yote hii niseme ilikua na maana kubwa sana.

Najua ndani kunaweza kuwa kivumbi lakini kama utabiri wangu ni kweli Basi huyu ndie niliyechaguliwa na mungu

Wakuu
Usiache kushare experience yako tunajifunza mengi kutoka kwa watu kuliko kusoma vitabu na movie
UMEPATWA NA NINI MKUU?
 
Wakuu naoa mm😂😂

Alooo 😂😂😂Kwanza ncheke

Naongea kwa utani kwasababu mm nina masihara sana.Hadi sasa nina miaka 34
Wadogo zangu wote walishao
Umri wangu walishaoa
Kila naemjua alishaoa

Nimesemwa sana aisee
Wazazi walihisi sidindi daah
Ila nilikua sijapata mtu ambae hata wazo la kumuoa lilikua linakuja kichwani.
Kifupi kila niliokua nao Tulikua hatuendani .
Kuna binti mmoja sasa ndo nilivomuona nikasema namuoa !
KIFUPI TANGU SIKU YA KWANZA NILIVOKUTANA NAE nikajisemea huyu ndio mke wangu!

La haulaaaaa Ghafla imo ,,,ni mvumilivu ananivumilia yaan mm nina personality ngumu sana !! Yaan huwa najisemea hata ningekua mwanamke singeweza kuishi na mtu kama mm”…..

Hali hyo ilinifanya nichelewe kuoa au kufuata mkumbo wa kuoa.

Naomba Mungu anilipizie maumivu yote
Ndoa ikawe ndoa kweli kweli
Nikatoe kizazi bora
Siku nitazame subira yote hii niseme ilikua na maana kubwa sana…….

Najua ndani kunaweza kuwa kivumbi lakini kama utabiri wangu ni kweli Basi huyu ndie niliyechaguliwa na mungu

Wakuu
Usiache kushare experience yako tunajifunza mengi kutoka kwa watu kuliko kusoma vitabu na movie
Unaoa kisa wadogo zako wameoa ,sio kwamba una malengo yako
 
Mkuu una hasara yaani unaoa Ili jamii ijue unadindisha?Na kama pasona yako ningumu na unajua,niki kwambia huyo manzi nae yupo kama ww ila anaficha pasona yake hadi aolewe ndio aichie Utabisha?Tumia akili
Hapana mkuu ishu hata siyo ningekua naoa kwasababu ya ushawishi ningekua nimefanya hivo miaka ya nyuma!
mdogo wangu wa 3 kaoa ana miaka 24
mdogo wangu mwingine miaka26
mwingine 25
sasa miaka yote hyo ingekua ni ushawishi ningekua nishaoa zamani kama ni mtu wa kushawishika
 
Too much negativity in here, watu wako na different experiences Don't drag you marriage failures into our brand new anticipated married brother. Oa mkuu I Support 💯 kila mtu yuko na destiny yake, I got married when I was 27 now I'm 35 happy father of 2 boys, husband and proud.
 
Kama huyo mrembo anaamini chake ni chenu na chako ni chenu oa mkuu tofauti na hapo tuliza kwanza akili
 
Andaa jeneza mkuu
Haahaa kama 7.6 au?


ukitulia pitia hapa

 
Back
Top Bottom