Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Safi sana mkuu, we oa achana na kataa ndoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
One who finds a wife,finds what is good ,and receive favor from God....ikawe heri
Kuna watu wapo ndoani wanaishi kama wapo paradise,huyo jamaa yako alipata ajali tu kama zilivyo ajali zingine
Mc pili pili ameshanyolewa huko"Wakuu naoa mimi [emoji23][emoji23]
Alooo [emoji23][emoji23][emoji23] Kwanza ncheke
Naongea kwa utani kwasababu mimi nina masihara sana. Hadi sasa nina miaka 34. Wadogo zangu wote walishaoa. Umri wangu walishaoa. Kila naemjua alishaoa
Nimesemwa sana aisee Wazazi walihisi sidindi daah. Ila nilikua sijapata mtu ambae hata wazo la kumuoa lilikua linakuja kichwani. Kifupi kila niliokua nao Tulikua hatuendani. Kuna binti mmoja sasa ndo nilivomuona nikasema namuoa.
KIFUPI TANGU SIKU YA KWANZA NILIVOKUTANA NAE nikajisemea huyu ndio mke wangu! La haulaaaaa Ghafla imo , ni mvumilivu ananivumilia yaan mimi nina personality ngumu sana !! Yaan huwa najisemea hata ningekua mwanamke singeweza kuishi na mtu kama mimi”
Hali hiyo ilinifanya nichelewe kuoa au kufuata mkumbo wa kuoa. Naomba Mungu anilipizie maumivu yote. Ndoa ikawe ndoa kweli kweli. Nikatoe kizazi bora. Siku nitazame subira yote hii niseme ilikua na maana kubwa sana.
Najua ndani kunaweza kuwa kivumbi lakini kama utabiri wangu ni kweli Basi huyu ndie niliyechaguliwa na mungu
Wakuu
Usiache kushare experience yako tunajifunza mengi kutoka kwa watu kuliko kusoma vitabu na movie"
Najua familia muhimu, sema tuishi humo tu🤓Kuna watu wapo ndoani wanaishi kama wapo paradise,huyo jamaa yako alipata ajali tu kama zilivyo ajali zingine
Uko sahihi kabisa, acha dawa ita mwingia tu🤓🤣Mc pili pili ameshanyolewa huko
Ndoa hizi balaa
Kataa ndoa ni hazina ya kesho
Hii Sera ya kataa ndoa ni Sera ya msingi na muhimu mno. Itasaidia kuonyesha ukweli na njia ambazo vijana Wanazo Ingia Chaka. swaga nyingi, michango, Picha kibao, halafu mwishobwa siku una Baki una Lia Lia. maigizo, kilio, Kisi kudanganye kijana. Mwenyekiti wa kataa ndoa ni, Liverpool VPN, 02...www.jamiiforums.com
Oa tukutombee, ahsante"Wakuu naoa mimi 😂😂
Alooo 😂😂😂 Kwanza ncheke
Naongea kwa utani kwasababu mimi nina masihara sana. Hadi sasa nina miaka 34. Wadogo zangu wote walishaoa. Umri wangu walishaoa. Kila naemjua alishaoa
Nimesemwa sana aisee Wazazi walihisi sidindi daah. Ila nilikua sijapata mtu ambae hata wazo la kumuoa lilikua linakuja kichwani. Kifupi kila niliokua nao Tulikua hatuendani. Kuna binti mmoja sasa ndo nilivomuona nikasema namuoa.
KIFUPI TANGU SIKU YA KWANZA NILIVOKUTANA NAE nikajisemea huyu ndio mke wangu! La haulaaaaa Ghafla imo , ni mvumilivu ananivumilia yaan mimi nina personality ngumu sana !! Yaan huwa najisemea hata ningekua mwanamke singeweza kuishi na mtu kama mimi”
Hali hiyo ilinifanya nichelewe kuoa au kufuata mkumbo wa kuoa. Naomba Mungu anilipizie maumivu yote. Ndoa ikawe ndoa kweli kweli. Nikatoe kizazi bora. Siku nitazame subira yote hii niseme ilikua na maana kubwa sana.
Najua ndani kunaweza kuwa kivumbi lakini kama utabiri wangu ni kweli Basi huyu ndie niliyechaguliwa na mungu
Wakuu
Usiache kushare experience yako tunajifunza mengi kutoka kwa watu kuliko kusoma vitabu na movie"
dronedrake na genge lake watarudi hapa ukishaanza kutoa milio😁mwanangu nimeusoma nikasema alaah haya mambo yapo
kumbuka ndoa ni kuficha aibu ya mwanamke"Wakuu naoa mimi 😂😂
Alooo 😂😂😂 Kwanza ncheke
Naongea kwa utani kwasababu mimi nina masihara sana. Hadi sasa nina miaka 34. Wadogo zangu wote walishaoa. Umri wangu walishaoa. Kila naemjua alishaoa
Nimesemwa sana aisee Wazazi walihisi sidindi daah. Ila nilikua sijapata mtu ambae hata wazo la kumuoa lilikua linakuja kichwani. Kifupi kila niliokua nao Tulikua hatuendani. Kuna binti mmoja sasa ndo nilivomuona nikasema namuoa.
KIFUPI TANGU SIKU YA KWANZA NILIVOKUTANA NAE nikajisemea huyu ndio mke wangu! La haulaaaaa Ghafla imo , ni mvumilivu ananivumilia yaan mimi nina personality ngumu sana !! Yaan huwa najisemea hata ningekua mwanamke singeweza kuishi na mtu kama mimi”
Hali hiyo ilinifanya nichelewe kuoa au kufuata mkumbo wa kuoa. Naomba Mungu anilipizie maumivu yote. Ndoa ikawe ndoa kweli kweli. Nikatoe kizazi bora. Siku nitazame subira yote hii niseme ilikua na maana kubwa sana.
Najua ndani kunaweza kuwa kivumbi lakini kama utabiri wangu ni kweli Basi huyu ndie niliyechaguliwa na mungu
Wakuu
Usiache kushare experience yako tunajifunza mengi kutoka kwa watu kuliko kusoma vitabu na movie"
mmhkumbuka ndoa ni kuficha aibu ya mwanamke
Asante mkuuAll the best, karibu chamani 🤝