Akifa mwanasheria wako?ππππmkuu huu uzi nimeusoma yaan hapa nishaongea na jamaa angu mwanasheria kanihakikishia As long ye yupo hatuwez gawana mali nilizochuma mm
Imekuje ukawa single mom, baba watoto yupo Wapi!? Kipi kiliwasibu,Tuliobaki ni siye singlemoms[emoji3061]
Hakikisha unatengeneza urafiki na yule mchezaji wa PSGkwaiyo mkuu unanishaurije
UMEPATWA NA NINI MKUU?Wakuu naoa mimiππ
Alooo πππKwanza ncheke
Naongea kwa utani kwasababu mimi nina masihara sana. Hadi sasa nina miaka 34.
Wadogo zangu wote walishaoa
Umri wangu walishaoa
Kila naemjua alishaoa
Nimesemwa sana aisee Wazazi walihisi sidindi daah. Ila nilikua sijapata mtu ambae hata wazo la kumuoa lilikua linakuja kichwani.
Kifupi kila niliokua nao Tulikua hatuendani.
Kuna binti mmoja sasa ndo nilivomuona nikasema namuoa.
KIFUPI TANGU SIKU YA KWANZA NILIVOKUTANA NAE nikajisemea huyu ndio mke wangu!
La haulaaaaa Ghafla imo ,,,ni mvumilivu ananivumilia yaan mm nina personality ngumu sana !! Yaan huwa najisemea hata ningekua mwanamke singeweza kuishi na mtu kama mimiββ¦..
Hali hyo ilinifanya nichelewe kuoa au kufuata mkumbo wa kuoa.
Naomba Mungu anilipizie maumivu yote.
Ndoa ikawe ndoa kweli kweli.
Nikatoe kizazi bora.
Siku nitazame subira yote hii niseme ilikua na maana kubwa sana.
Najua ndani kunaweza kuwa kivumbi lakini kama utabiri wangu ni kweli Basi huyu ndie niliyechaguliwa na mungu
Wakuu
Usiache kushare experience yako tunajifunza mengi kutoka kwa watu kuliko kusoma vitabu na movie
ndoa kakaUMEPATWA NA NINI MKUU?
kwann mkuu
Unaoa kisa wadogo zako wameoa ,sio kwamba una malengo yakoWakuu naoa mmππ
Alooo πππKwanza ncheke
Naongea kwa utani kwasababu mm nina masihara sana.Hadi sasa nina miaka 34
Wadogo zangu wote walishao
Umri wangu walishaoa
Kila naemjua alishaoa
Nimesemwa sana aisee
Wazazi walihisi sidindi daah
Ila nilikua sijapata mtu ambae hata wazo la kumuoa lilikua linakuja kichwani.
Kifupi kila niliokua nao Tulikua hatuendani .
Kuna binti mmoja sasa ndo nilivomuona nikasema namuoa !
KIFUPI TANGU SIKU YA KWANZA NILIVOKUTANA NAE nikajisemea huyu ndio mke wangu!
La haulaaaaa Ghafla imo ,,,ni mvumilivu ananivumilia yaan mm nina personality ngumu sana !! Yaan huwa najisemea hata ningekua mwanamke singeweza kuishi na mtu kama mmββ¦..
Hali hyo ilinifanya nichelewe kuoa au kufuata mkumbo wa kuoa.
Naomba Mungu anilipizie maumivu yote
Ndoa ikawe ndoa kweli kweli
Nikatoe kizazi bora
Siku nitazame subira yote hii niseme ilikua na maana kubwa sanaβ¦β¦.
Najua ndani kunaweza kuwa kivumbi lakini kama utabiri wangu ni kweli Basi huyu ndie niliyechaguliwa na mungu
Wakuu
Usiache kushare experience yako tunajifunza mengi kutoka kwa watu kuliko kusoma vitabu na movie
Hapana mkuu ishu hata siyo ningekua naoa kwasababu ya ushawishi ningekua nimefanya hivo miaka ya nyuma!Mkuu una hasara yaani unaoa Ili jamii ijue unadindisha?Na kama pasona yako ningumu na unajua,niki kwambia huyo manzi nae yupo kama ww ila anaficha pasona yake hadi aolewe ndio aichie Utabisha?Tumia akili
Kwenye hao hao chukua mmoja uishi nae uchumba suguMIMI sidhani km nitakuja kuoa wanawake hawafahi kabisa, hakuna mwenye afadhari wote ni wale wale
Labda Ila SIO kuoaKwenye hao hao chukua mmoja uishi nae uchumba sugu
Haahaa kama 7.6 au?Andaa jeneza mkuu
Halafu una nishauri kuoaπ€π€£πHongera sana mkuu pia usisahau kupitia ule uzi wa jamaa kugawana mali na mke wake ifikapo kesho
Fanya uukimbie ubachela mkuuHalafu una nishauri kuoaπ€π€£π