Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Naunga mkono hoja...🤝Wasikutishe na comment zao ili uone ndoa ni mbaya,Ikawe ndoa ya furaha kama yangu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja...🤝Wasikutishe na comment zao ili uone ndoa ni mbaya,Ikawe ndoa ya furaha kama yangu .
we jamaa unakuja kutongozea kwenye uzi wanguMambo sinyorita...😘
We jamaa acha wivu 😂😂😂huko mtaani utakuaje kama ndo hapa uko hiviKwa hapo....
Naomba tuheshimiane mkuu...🤨
AmenIkawe kheri mkuu🙏🏽🙏🏽
Ulitaka nikazoze wapi kwani mkuu...🤔we jamaa unakuja kutongozea kwenye uzi wangu
Mkuu....We jamaa acha wivu 😂😂😂huko mtaani utakuaje kama ndo hapa uko hivi
Yakitobuka uje kufungua uzi mwingine wa kukimbilia mahakamani,Wakuu
Usiache kushare experience yako tunajifunza mengi kutoka kwa watu kuliko kusoma vitabu na movie
Tuliobaki ni siye singlemoms🥴MIMI sidhani km nitakuja kuoa wanawake hawafahi kabisa, hakuna mwenye afadhari wote ni wale wale
Amen...🙏Hongera mkuu.. Ikawe heri kwenu
Mpo wangapi?Tuliobaki ni siye singlemoms🥴
Wengi mno mkuuMpo wangapi?
Minaona labda uolewe tu sasa mkuu...🙄MIMI sidhani km nitakuja kuoa wanawake hawafahi kabisa, hakuna mwenye afadhari wote ni wale wale
Idadi kamili hakunaWengi mno mkuu