To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Comment yako inachukiza mkuu🙁Minaona labda uolewe tu sasa mkuu...🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comment yako inachukiza mkuu🙁Minaona labda uolewe tu sasa mkuu...🙄
Huo sio uamuzi wa kiumeMinaona labda uolewe tu sasa mkuu...🙄
Ndiyo....a lot of usIdadi kamili hakuna
HONGERA SANA MKUU.Naomba Mungu anilipizie maumivu yote
Ndoa ikawe ndoa kweli kweli
Nikatoe kizazi bora
Siku nitazame subira yote hii niseme ilikua na maana kubwa sana…….
Sawa Ila Mimi kuoa tena basi sitaki tenaNdiyo....a lot of us
Ushawahi oa?Sawa Ila Mimi kuoa tena basi sitaki tena
Sitaki hata kusikia kabisa nilikua kwenye hatua za awali umenipa fundishoUshawahi oa?
Humpendi tangu lini?Siyo kumshangaa tu,simpendi🤨
Kumbe it’s you man?Sitaki hata kusikia kabisa nilikua kwenye hatua za awali umenipa fundisho
Tuliobaki ni siye singlemoms🥴
🤣🤣🤣Hii imeendaKataa ndoa mmepoteza memba uku[emoji16]
Basi ukaolewe kabisaMIMI sidhani km nitakuja kuoa wanawake hawafahi kabisa, hakuna mwenye afadhari wote ni wale wale
Usiniambie ulikua shoga ake na Mwaj wake😂😂Siyo kumshangaa tu,simpendi🤨