Jamaldini kassimujr
Senior Member
- Apr 13, 2017
- 142
- 101
BundlesKuna trending halafu kuna kuishi kwa muziki. Mtu aliyekuwa anapiga views mil 1 kwa masaa sasa hivi anahangaika kupiga mil 1 kwa siku mbili. Akubali kwamba mashabiki zake wa kwanza ni watanzania na lazima awaangalie waliomkuza. Akiwapoteza hawa hata wa mje watapotea tu
Acha kudanya watu basi,hebu pitia huu uzi halafu uje hapa useme chochoteBaada ya mkali wa bongofleva Africa na duniani kwa ujumla kuachia ngoma .....ambayo ilionekana kupondwa Sana na wadau wa muziki hapa mjini Tanzania.
Lakin usichokijua ni kwamba ngoma hi # UNACHEZAJE# ndan ya siku moja imefanikiwa kuingia kwenye playlist kubwa ya nyimbo Kali za week Duniani
#UNACHEZAJE by diamondplatnumz has been added to @audiomack Africa verified playlist best of the week
Fact.....ifike mahali tuheshimu kazi zinazofanywa na wasanii.....Tanzania wimbo unapondwa.....but abroad wimbo unakiwasha[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378]
View attachment 2048768
Shida nn ujue,ukishaanza kupuuziwa kwako hata huko unapojivunia utapuuziwa tu,ni suala la muda tuAnajua kuwa ana Target soko mkuu
Iyobo amesema "ukitaka nyimbo nzuri ....kasikilize kwaya.....but ukitaka mziki mzur nenda WCB
Baada ya mkali wa bongofleva Africa na duniani kwa ujumla kuachia ngoma .....ambayo ilionekana kupondwa Sana na wadau wa muziki hapa mjini Tanzania.
Lakin usichokijua ni kwamba ngoma hi # UNACHEZAJE# ndan ya siku moja imefanikiwa kuingia kwenye playlist kubwa ya nyimbo Kali za week Duniani
#UNACHEZAJE by diamondplatnumz has been added to @audiomack Africa verified playlist best of the week
Fact.....ifike mahali tuheshimu kazi zinazofanywa na wasanii.....Tanzania wimbo unapondwa.....but abroad wimbo unakiwasha[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378]
View attachment 2048768
Hapana mkuu.....soko la ndani lina ushindani mwingi na kuhusu kufjkisha views 1m per hour .....sio hoja mfano alikiba afkisha views kwa masaa but mda unavyozid kwenda spidi inapungua ....ila mond .....views zinafika mbali sanaKuna trending halafu kuna kuishi kwa muziki. Mtu aliyekuwa anapiga views mil 1 kwa masaa sasa hivi anahangaika kupiga mil 1 kwa siku mbili. Akubali kwamba mashabiki zake wa kwanza ni watanzania na lazima awaangalie waliomkuza. Akiwapoteza hawa hata wa mje watapotea tu
Wabongo wabaya Sana.......anaita wimbo mbaya ....akiwa geto anaweka auto repeatHuo wimbo sio mzuri , na mimi sio hater, ingekua mara ya kwanza ndio anatoa nyimbo tungesema sawa, tungekua hatuna comparisons, ila ana nyimbo kibao ambazo ni hitsongs ambazo ukiangalia utagundua hii ngoma ya #unachezaje# iko below standard zake...nyie team Mondi ndio wabaya hamtaki kumuambia ukweli...lol
Una yako nduguWabongo wabaya Sana.......anaita wimbo mbaya ....akiwa geto anaweka auto repeat
Acha kuishi kwa historia mkuuAcha kudanya watu basi,hebu pitia huu uzi halafu uje hapa useme chochote
HATA DIAMOND KASHINDWA KUFIKISHA VIEWS MILION NDANI YA SIKU!! MABANDO YATAZIKA UMAARUFU WA SANAA YETU AFRICA.
Mods tafadhalini msiwe mnaunganisha uganisha thread zetu kwenye nyuzi za zamani, Kiutani utani sanaa yetu naenda kufutika katika ramani ya Africa, Sanaa yetu ya muziki ilikuwa inapaa kwa kasi ila kwa sasa haya mabando yamekata mbawa. Hata hizo tuzo za bet, views zilikuwa na nafasi yake kumpa...www.jamiiforums.com
Kweli mkuu ....umeongea fact sanaAsante sana mdau kwanza muhimu ni ufahamu hafifu wa watu kuhusu music markets or rather Market targeting kwa Music industry, Segment kubwa ya fans ipo 30 years and below na ukicheki 20 yrs below kwa bongo wanabambika sana n.a. Hii music type, uchezaji wa kubamba na innovative. Mond wengi huwa wanamsifia ila kwa mfumo wa kumkosoa inawauma kutamka chanya ulimini juu yake kwa yuko kwa next next horizon that is unimaginable among the majority.
Hata huko mambele, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kibongo bongo