Hatimaye ngoma ya UNACHEZAJE ya Diamond yaingia kwenye playlist kubwa duniani

Hatimaye ngoma ya UNACHEZAJE ya Diamond yaingia kwenye playlist kubwa duniani

Huo wimbo sio mzuri , na mimi sio hater, ingekua mara ya kwanza ndio anatoa nyimbo tungesema sawa, tungekua hatuna comparisons, ila ana nyimbo kibao ambazo ni hitsongs ambazo ukiangalia utagundua hii ngoma ya #unachezaje# iko below standard zake...nyie team Mondi ndio wabaya hamtaki kumuambia ukweli...lol
 
Baada ya mkali wa bongofleva Africa na duniani kwa ujumla kuachia ngoma .....ambayo ilionekana kupondwa Sana na wadau wa muziki hapa mjini Tanzania.

Lakin usichokijua ni kwamba ngoma hi # UNACHEZAJE# ndan ya siku moja imefanikiwa kuingia kwenye playlist kubwa ya nyimbo Kali za week Duniani

#UNACHEZAJE by diamondplatnumz has been added to @audiomack Africa verified playlist best of the week

Fact.....ifike mahali tuheshimu kazi zinazofanywa na wasanii.....Tanzania wimbo unapondwa.....but abroad wimbo unakiwasha[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378]
View attachment 2048768
Acha kudanya watu basi,hebu pitia huu uzi halafu uje hapa useme chochote
 
Muziki kama dalala umejaa wapiga debe. Acheni kazi nzuri zijieleze hakuna haja ya kuwaelimisha watu kuwa nyimbo hii ni nzuri.

Na mbona hii tabia imeshamiri siku hizi
 
Anajua kuwa ana Target soko mkuu


Iyobo amesema "ukitaka nyimbo nzuri ....kasikilize kwaya.....but ukitaka mziki mzur nenda WCB
Shida nn ujue,ukishaanza kupuuziwa kwako hata huko unapojivunia utapuuziwa tu,ni suala la muda tu
 
Baada ya mkali wa bongofleva Africa na duniani kwa ujumla kuachia ngoma .....ambayo ilionekana kupondwa Sana na wadau wa muziki hapa mjini Tanzania.

Lakin usichokijua ni kwamba ngoma hi # UNACHEZAJE# ndan ya siku moja imefanikiwa kuingia kwenye playlist kubwa ya nyimbo Kali za week Duniani

#UNACHEZAJE by diamondplatnumz has been added to @audiomack Africa verified playlist best of the week

Fact.....ifike mahali tuheshimu kazi zinazofanywa na wasanii.....Tanzania wimbo unapondwa.....but abroad wimbo unakiwasha[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378]
View attachment 2048768

Asante sana mdau kwanza muhimu ni ufahamu hafifu wa watu kuhusu music markets or rather Market targeting kwa Music industry, Segment kubwa ya fans ipo 30 years and below na ukicheki 20 yrs below kwa bongo wanabambika sana n.a. Hii music type, uchezaji wa kubamba na innovative. Mond wengi huwa wanamsifia ila kwa mfumo wa kumkosoa inawauma kutamka chanya ulimini juu yake kwa yuko kwa next next horizon that is unimaginable among the majority.
 
Kuna trending halafu kuna kuishi kwa muziki. Mtu aliyekuwa anapiga views mil 1 kwa masaa sasa hivi anahangaika kupiga mil 1 kwa siku mbili. Akubali kwamba mashabiki zake wa kwanza ni watanzania na lazima awaangalie waliomkuza. Akiwapoteza hawa hata wa mje watapotea tu
Hapana mkuu.....soko la ndani lina ushindani mwingi na kuhusu kufjkisha views 1m per hour .....sio hoja mfano alikiba afkisha views kwa masaa but mda unavyozid kwenda spidi inapungua ....ila mond .....views zinafika mbali sana
 
Huo wimbo sio mzuri , na mimi sio hater, ingekua mara ya kwanza ndio anatoa nyimbo tungesema sawa, tungekua hatuna comparisons, ila ana nyimbo kibao ambazo ni hitsongs ambazo ukiangalia utagundua hii ngoma ya #unachezaje# iko below standard zake...nyie team Mondi ndio wabaya hamtaki kumuambia ukweli...lol
Wabongo wabaya Sana.......anaita wimbo mbaya ....akiwa geto anaweka auto repeat
 
Acha kudanya watu basi,hebu pitia huu uzi halafu uje hapa useme chochote
Acha kuishi kwa historia mkuu
 
Muziki kama dalala umejaa wapiga debe. Acheni kazi nzuri zijieleze hakuna haja ya kuwaelimisha watu kuwa nyimbo hii ni nzuri.

Na mbona hii tabia imeshamiri siku hizi
Wachambuzi lazima wafanye kaz zao
 
Asante sana mdau kwanza muhimu ni ufahamu hafifu wa watu kuhusu music markets or rather Market targeting kwa Music industry, Segment kubwa ya fans ipo 30 years and below na ukicheki 20 yrs below kwa bongo wanabambika sana n.a. Hii music type, uchezaji wa kubamba na innovative. Mond wengi huwa wanamsifia ila kwa mfumo wa kumkosoa inawauma kutamka chanya ulimini juu yake kwa yuko kwa next next horizon that is unimaginable among the majority.
Kweli mkuu ....umeongea fact sana
 
Back
Top Bottom