Marehemu alikuwa na Green Card, serikali ya US ilimnyanga'anya viza ya u-Governor aliyokuwa amepewa kama ofisa wa serikali yetu kuweza kuingia na kutoka US, lakini otherwise hata serikali yetu haikujua kuwa marehemu alikuwa na green card, ndio kikawa chanzo cha kujichanganya kwa serikali yetu na exactly what serikali ya US ilikifanya,
Serikali ya US isingeweza kumrudisha marehemu bongo, unless kama tunayo mahusiano ya namna hiyo kisheria, halafu pia serikali yetu haikuwahi kutamka wazi kuwa marehemu alikuwa mtuhumiwa anayetafutwa kisheria,
according to the dataz ni kwamba mjane yuko na hasira sana na serikali yetu ambayo anaijua vizuri sana kuhusu ukweli wa ishu nzima, sasa tusubiri mazishi yaishe, ninajua kuna mengi yanakuja, ambayo ni mazuri kwa taifa letu!