Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki!

Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki!

Status
Not open for further replies.
Kuna mtu anayejua kama habari za kansa ni za kweli?

Mambo ya ugonjwa wa mtu ni mambo binafsi (private matters) ndugu yangu. Haya maswali yako hivi nia yake ni nini? Unarudiarudia maswali yaleyale bila kupata majibu kwa vile maswali yako yanaonekana ya kichochezi na yasiyo na msingi.
 
Kuna mtu anayejua kama habari za kansa ni za kweli?

mhm ! kama mahakamani wallahi tungekuwa tushajifunga kamba wenyewe !

naona humu tunatumia lugha si chini ya 200 kwenye ishu moja ! kansa, kauliwa, cant he die of nechro kozez jamani ?
 
Hizi ni assumptions ambazo niko entittled to provided mtuhumiwa aliekufa akiwa huru ndiye aliyekuwa mtuhumiwa namba moja kwenye sakata lote la EPA!
We kwanini unafikiri wamarekani wamekomalia kwenye utolewaji wa ripoti?
Wanataka kuuona ukweli ambao haukuhusisha kumuhoji suspect number one!
Na sisi tunataka tuione hiyo ripoti ya uchunguzi ambayo haikumuhoji mtuhumiwa nmba moja na wala haikumtafuta mtuhumiwa namba moja!Bali walisubiri mpaka afe akiwa huru!

Kwa hiyo sasa hivi unakubali kuwa Ballali amekufa?
 
Kwa hiyo sasa hivi unakubali kuwa Ballali amekufa?

Either Aliuwawa Ili Ushahidi Usitumike
Ama Ni Mpango Wa Zamani Kuanzia Serikali Ya Mkapa kwa makubaliano yao na Ballali.. Wakamleta Kufanya Uharamia Wakijua Atakufa Kwa Kansa Na Hivyo Familia Yake Itapata Manufaa.Hii posibility ipo kwasababu jama labda alikuwa keshaambiwa kuwa ngoma ntolee baada ya mika 7 na akala dili na mfisadi wa nchi yetu walipomtoa huko IMF na kumweka BOT ambapo waliiuza nchi huku wakijua kuwa ushahidi utakufa baada ya miaka hiyo 7!
Ama Ni Kweli Ame Fake Kifo Chake Na Serikali Haijui
Ama Amafake Kifo Chake Na Serikali Imeshiriki
Ama Ni Kweli Aliwekewa Sumu Wakati Akiwa Wamesha Mset Up Na Mapesa Kutoka!
Tatizo Hapo Ni Kwanini Familia Haijasema Ukweli Wa Kila Kitu!
Sasa Hayo Hapo Juu Hakuna Kesi Hapa Ya Kupelekeshana?
 
Either Aliuwawa Ili Ushahidi Usitumike
Ama Ni Mpango Wa Zamani Kuanzia Serikali Ya Mkapa kwa makubaliano yao na Ballali.. Wakamleta Kufanya Uharamia Wakijua Atakufa Kwa Kansa Na Hivyo Familia Yake Itapata Manufaa.Hii posibility ipo kwasababu jama labda alikuwa keshaambiwa kuwa ngoma ntolee baada ya mika 7 na akala dili na mfisadi wa nchi yetu walipomtoa huko IMF na kumweka BOT ambapo waliiuza nchi huku wakijua kuwa ushahidi utakufa baada ya miaka hiyo 7!
Ama Ni Kweli Ame Fake Kifo Chake Na Serikali Haijui
Ama Amafake Kifo Chake Na Serikali Imeshiriki
Ama Ni Kweli Aliwekewa Sumu Wakati Akiwa Wamesha Mset Up Na Mapesa Kutoka!
Tatizo Hapo Ni Kwanini Familia Haijasema Ukweli Wa Kila Kitu!
Sasa Hayo Hapo Juu Hakuna Kesi Hapa Ya Kupelekeshana?

Jmushi !
am sorry !but i give up on you home boy !
 
mhm ! kama mahakamani wallahi tungekuwa tushajifunga kamba wenyewe !

naona humu tunatumia lugha si chini ya 200 kwenye ishu moja ! kansa, kauliwa, cant he die of nechro kozez jamani ?

nakwambia mambo yamebadilishwa hapa na maswali yanaulizwa yaleyale kwa kurudiwa rudiwa hadi inaboa. Ballali amekufa na amezikwa. Kama watu wana ushahidi kuwa hajafa waulete hapa kuliko kuchafuana bila sababu.

Mambo ya mara amepewa sumu, mara kansa, mara makachelo saba walitumwa kumuua, mara amejinyonga yanatisha. Hii ni hatari kwa nchi yetu kwa kweli.
 
Masaka conspiracy theories zitamalizwa na familia pamoja na watawala wetu!
Wawe honest na watanzania watawasamehe!
 
Either Aliuwawa Ili Ushahidi Usitumike
Ama Ni Mpango Wa Zamani Kuanzia Serikali Ya Mkapa kwa makubaliano yao na Ballali.. Wakamleta Kufanya Uharamia Wakijua Atakufa Kwa Kansa Na Hivyo Familia Yake Itapata Manufaa.Hii posibility ipo kwasababu jama labda alikuwa keshaambiwa kuwa ngoma ntolee baada ya mika 7 na akala dili na mfisadi wa nchi yetu walipomtoa huko IMF na kumweka BOT ambapo waliiuza nchi huku wakijua kuwa ushahidi utakufa baada ya miaka hiyo 7!
Ama Ni Kweli Ame Fake Kifo Chake Na Serikali Haijui
Ama Amafake Kifo Chake Na Serikali Imeshiriki
Ama Ni Kweli Aliwekewa Sumu Wakati Akiwa Wamesha Mset Up Na Mapesa Kutoka!
Tatizo Hapo Ni Kwanini Familia Haijasema Ukweli Wa Kila Kitu!
Sasa Hayo Hapo Juu Hakuna Kesi Hapa Ya Kupelekeshana?

Sasa wewe mwenyewe mbona unaonekana kuwa huna majibu ya haya maswali?
 
Masaka conspiracy theories zitamalizwa na familia pamoja na watawala wetu!
Wawe honest na watanzania watawasamehe!

Afadhali umeliona hilo na utasubiria maswali yako yajibiwe au utafute majibu kabla ya kuanza kuzushia wale wanaoamini hapa kuwa Ballali amekufa kuwa ni wasaliti.
 
siku zote kuna watu hupenda udaku na kupenda mambo yaende au watu waamini wanavyotaka wao


hawana nafasi ya kujiuliza au kufanya tathmini ni watu wa ovyo sana

hata rafiki yangu mkjj amewan'gamua maana wao wanataka kila mtu awe na mawazo yao kwa sasa mkjj anaonekana msaliti

Kweli kabisa Mtu wa Pwani,

Ukionekana kukubaliana na habari kuwa Ballali amekufa basi wewe unaonekana msaliti na watu wanakubeza bila sababu. Hata kama ikitokea kuwa Ballali hajafa, bado hakuna ushahidi wa kuthibitisha hili. Kwa sasa ni udaku tu na uchochezi usio na msingi.
 
Kweli kabisa Mtu wa Pwani,

Ukionekana kukubaliana na habari kuwa Ballali amekufa basi wewe unaonekana msaliti na watu wanakubeza bila sababu. Hata kama ikitokea kuwa Ballali hajafa, bado hakuna ushahidi wa kuthibitisha hili. Kwa sasa ni udaku tu na uchochezi usio na msingi.

Si kuna rumours kuwa alikuwa akiugua kansa sijui ni ya saratani ama something...Sasa hapo mara nyingi watu wa aina hii wanajua kabisa kuwa watakufa na muda wa kuishi wanaujua!
Sasa kwanini tusifikiri kuwa kuna mpango kwasababu walijua kuwa lazima atakufa kwa kansa?
Je nafasi za juu kama hizo watu huwa hawapimwi afya?
Je rekodi zake za afya zinasemaje?
Kwasababu hata hapa marekani si inasemekana kuwa madaktari walimwambia aende nyumbani kwasababu walikuwa hawana cha kufanya tena?
Sasa ni sumu ama kansa?
Kwanini wasituonyeshe picha?
Maana mtu aliyekufa kwa kansa anajulikana kabisa!
 
mmh.. haya bwana...!

endelea kuuliza maswali yasiyo sahihi ukitarajia utapata jawabu sahihi. Ningeamua kuminya habari za nyumba ya mazishi, misa, n.k ambazo hata familia hawakujua nafahamu sijui ungezitoa wapi. Mngesubiri hadi dakika ya mwisho ndio muambie msiba umefanyika "so and so" a place.

So, Jmushi1 endelea kuuliza maswali ya kuwapotezesha watu lengo ili wasifikirie hasa wanachotakiwa kujiuliza. Tangu juzi umekuwa ukijitahidi sana kurusha na kupoteza watu mwelekeo, najiuliza "KWA NINI".?

But then, I know the ANSWER.
 
Si kuna rumours kuwa alikuwa akiugua kansa sijui ni ya saratani ama something...Sasa hapo mara nyingi watu wa aina hii wanajua kabisa kuwa watakufa na muda wa kuishi wanaujua!
Sasa kwanini tusifikiri kuwa kuna mpango kwasababu walijua kuwa lazima atakufa kwa kansa?
Je nafasi za juu kama hizo watu huwa hawapimwi afya?
Je rekodi zake za afya zinasemaje?

hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ! umenivunja mbavu !
 
Si kuna rumours kuwa alikuwa akiugua kansa sijui ni ya saratani ama something...Sasa hapo mara nyingi watu wa aina hii wanajua kabisa kuwa watakufa na muda wa kuishi wanaujua!
Sasa kwanini tusifikiri kuwa kuna mpango kwasababu walijua kuwa lazima atakufa kwa kansa?
Je nafasi za juu kama hizo watu huwa hawapimwi afya?
Je rekodi zake za afya zinasemaje?

Mushi,

Mambo ya magonjwa ya watu ni binafsi (private) na huwezi kuanza kuyadai hapa. Hivi haya maswali yako yanataka kuprove nini hapa? Na hata kama ukijua kuwa alikuwa na kansa, kwani ni makosa kuajiri watu wenye kansa?
 
Tatizo ni kwanini walisubiri mpaka akafa akiwa huru!
 
nimeshindwa maneno ya kuandika kuhusiana na hili ! ulichosema ni SIMPLY IMPOSSIBLE ! kazi za ugavana hapewi mtu yoyote tu yule bila ya uchunguzi ! either serikali ilijua au you made a mistake in your info ! sio kweli ! serikali has to know wanayempa kazi !


Kada,

Simtetei FMES, lakini serikali yetu ni mbofu mbofu sana. Ikiwa kuna mengi ya dhahiri yawanapita kila siku na hasa kuchunuza viongozi kama hili la Chenge, si ajabu kuwa hata Ballali kuwa na ganda la kijani Serikali haikulijua.

In fact kama Mushi anaweza kuwa resourceful to some extent na search engine zake tukajua anuani ya Ballali na simu ya nyumbani, ilhali Serikali inasema haijui yupo wapi na hata huyo field officer wao DC hajui? inanikumbusha kule kwa RO akiwa London na kuacha tuingie mkataba wa Rada.
 
Heshima kwenu wakuu,binafsi ningependa wana JF wanaoishi USA watupe reliable info kuhusu hizi habari za kifo cha bwana Balali,maana ukweli haujulikani ni upi, nadhani watu wqa USA wapo karibu na eneo la tukio sasa watupe hizo nyeti habari,maana serikali ya JK imeshindwa kutueleza ukweli,nasema hivyo kwa sababu huyu mtu ni mtuhumiwa katika wizi wa pesa zetu tulizo kuwa tunakatwa ktk mishahara yetu midogo,tafadhali
 
Mushi,

Mambo ya magonjwa ya watu ni binafsi (private) na huwezi kuanza kuyadai hapa. Hivi haya maswali yako yanataka kuprove nini hapa? Na hata kama ukijua kuwa alikuwa na kansa, kwani ni makosa kuajiri watu wenye kansa?

Nataka Serikali yetu ndiyo itoe TAMKO kuwa masuala ya the late Ballali ni private na yasizungumziwe!
Hapo basi tutaacha kufanya hivyo...Ila ni baada ya KILA KITU KUWEKWA WAZI!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom