Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki!

Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki!

Status
Not open for further replies.
Kama hakuna suspect namba moja huo uchunguzi ni wa aina gani huo wa kina mwema?
Ni wa kutafuta habari kutoka wapi?
Habari za uchunguzi hazikuzingatia ushahidi wa Boss Mkuu wa chombo kilichotuibia mabilioni?

Haya maswali unamuuliza nani hapa akupatie majibu? Na haya yanahusiana vipi na kifo cha Ballali?
 
mmmmmh sasa naona huyo Balali atakoma na kujutia kufa kwake!! wazee mnakufuru na kuvuka mstari sasa.........mmeshaingiza mpaka uchana kwenye msiba!!! aibu.
 
mmmmmh sasa naona huyo Balali atakoma na kujutia kufa kwake!! wazee mnakufuru na kuvuka mstari sasa.........mmeshaingiza mpaka uchana kwenye msiba!!! aibu.

hapana mzee.....

hapa ni kuelemishana kuwa tusichafuane kwa habari ambazo hazina uthibitisho. Mambo ya Mushi kusema kuwa Makachero saba wa serikali ya ccm walitumwa kumuona Ballali na ndipo kifo chake kikatokea (habari ambayo si ya kweli) inabidi yawekwe wazi hapa ili kutenganisha ukweli na uongo.

Mambo ya kushambulia watu walioamini kuwa Ballali amekufa kwa kutoleta ushahidi tofauti lazima yawekwe wazi hapa. Mpango wa kutaka kujipatia umaarufu kisiasa kwenye kifo cha mtu lazima ukemewe kwa lugha kali.

Zaidi, hakuna tatizo mkuu wala uchama hapa.
 
Si unaona mambo haya? MKJJ mazishi wapi?

Govt probe continues despite Ballali`s death

2008-05-23 10:03:59
By Njonanje Samwel


Investigations into reports of gross mismanagement of funds in the Bank of Tanzania`s External Payment Arrears (EPA) Account will continue despite Friday`s death in the US of the bank`s immediate former governor, Daudi Ballali, the government has said.

The stand was given by Omega Ngole, Information Officer with the Attorney General`s Chambers, in an interview with The Guardian in Dar es Salaam yesterday.

President Jakaya Kikwete relieved Ballali of his duties after revelations that the former governor had occasioned a loss amounting to billions of shillings through shoddy dealings with phony companies in 2005.

Soon after, he named Prof. Beno Ndulu as Ballali`s successor at the central bank.

The President also formed a committee comprising Inspector General of Police Said Mwema, Attorney General Johnson Mwanyika, and Prevention and Combating of Corruption Bureau Director General Edward Hoseah to investigate the reports and recommend measures to be taken against those implicated in the scandal.

The team is scheduled to complete its assignment on June 9, this year.

Ngole said Ballali had never been classified as either a witness or a prime suspect.

``Who said Ballali was a suspect or witness? What I know is the team is still going on with its assignment and the six months period it was given elapses in June,`` he said, adding: ``We should give the bereaved family a break to mourn the death of their beloved one as we wait for the team`s findings. The team is progressing well.``

Meanwhile, the late governor`s body might be brought back home for burial from the US.

It was earlier reported that Ballali would be buried in Boston, USA, but sources told this paper yesterday that it is likely that his body would be brought home for burial.

Family members were meeting in Dar es Salaam to discuss the logistics involved, although the sources said the family was still divided on the issue.

Further information on Ballali`s death has been kept a secret and reporters yesterday were not allowed to go near the house where funeral arrangements were being made in Boko on the outskirts of Dar es Salaam.

Central Bank and government officials were, however, allowed in.

The road leading to the house, believed to belong to the late Ballali�s sister, was being levelled yesterday.

Sources told this paper that family members were divided on returning the body back because it is believed that Ballali left a message that he should be buried in USA.

``However, it is difficult because Ballali`s mother, who is too frail, will not agree his son to be buried in a foreign land. That is where the dilemma lies, said the source, who did not want his name mentioned.

He, however, said the family would listen to the government`s advice on burial plans. The government said on Wednesday however that Ballali`s burial would be managed by his family.

Ballali`s death was confirmed by the Bank of Tanzania on Wednesday.

BoT said in a statement that it learnt with shock on Tuesday night that the former governor died on Friday, May 16 in Boston, USA.

A relative told this paper that Ballali died after a long but unknown illness. Ballali was first taken to South Africa last year after he developed health complications.

He was later flown to Boston in US for further medical attention, where he was admitted.

In December, 2007, doctors released him after his health condition improved under the condition that he should stay at home for three months, that is, until March this year.
But his condition changed and started to deteriorate, forcing doctors to order his re-admission.

Ernst & Young, the international auditing firm contracted by the government to screen the central bank`s accounts, revealed that payments amounting to 133bn/- were dubiously made to 22 domestic companies under External Payments Arrears (EPA) account scheme in 2005.

Some 90,359,078,804/- out of this was paid to 13 companies on the strength of fake or forged documents.

Another nine firms were said to have been paid an equivalent of 42,656,107,417/- without any documents to support their claims.
  • SOURCE: Guardian
 
Si unaona mambo haya? MKJJ mazishi wapi?

Govt probe continues despite Ballali`s death

2008-05-23 10:03:59
By Njonanje Samwel


Investigations into reports of gross mismanagement of funds in the Bank of Tanzania`s External Payment Arrears (EPA) Account will continue despite Friday`s death in the US of the bank`s immediate former governor, Daudi Ballali, the government has said.

The stand was given by Omega Ngole, Information Officer with the Attorney General`s Chambers, in an interview with The Guardian in Dar es Salaam yesterday.

President Jakaya Kikwete relieved Ballali of his duties after revelations that the former governor had occasioned a loss amounting to billions of shillings through shoddy dealings with phony companies in 2005.

Soon after, he named Prof. Beno Ndulu as Ballali`s successor at the central bank.

The President also formed a committee comprising Inspector General of Police Said Mwema, Attorney General Johnson Mwanyika, and Prevention and Combating of Corruption Bureau Director General Edward Hoseah to investigate the reports and recommend measures to be taken against those implicated in the scandal.

The team is scheduled to complete its assignment on June 9, this year.

Ngole said Ballali had never been classified as either a witness or a prime suspect.

``Who said Ballali was a suspect or witness? What I know is the team is still going on with its assignment and the six months period it was given elapses in June,`` he said, adding: ``We should give the bereaved family a break to mourn the death of their beloved one as we wait for the team`s findings. The team is progressing well.``

Meanwhile, the late governor`s body might be brought back home for burial from the US.

It was earlier reported that Ballali would be buried in Boston, USA, but sources told this paper yesterday that it is likely that his body would be brought home for burial.

Family members were meeting in Dar es Salaam to discuss the logistics involved, although the sources said the family was still divided on the issue.

Further information on Ballali`s death has been kept a secret and reporters yesterday were not allowed to go near the house where funeral arrangements were being made in Boko on the outskirts of Dar es Salaam.

Central Bank and government officials were, however, allowed in.

The road leading to the house, believed to belong to the late Ballali�s sister, was being levelled yesterday.

Sources told this paper that family members were divided on returning the body back because it is believed that Ballali left a message that he should be buried in USA.

``However, it is difficult because Ballali`s mother, who is too frail, will not agree his son to be buried in a foreign land. That is where the dilemma lies, said the source, who did not want his name mentioned.

He, however, said the family would listen to the government`s advice on burial plans. The government said on Wednesday however that Ballali`s burial would be managed by his family.

Ballali`s death was confirmed by the Bank of Tanzania on Wednesday.

BoT said in a statement that it learnt with shock on Tuesday night that the former governor died on Friday, May 16 in Boston, USA.

A relative told this paper that Ballali died after a long but unknown illness. Ballali was first taken to South Africa last year after he developed health complications.

He was later flown to Boston in US for further medical attention, where he was admitted.

In December, 2007, doctors released him after his health condition improved under the condition that he should stay at home for three months, that is, until March this year.
But his condition changed and started to deteriorate, forcing doctors to order his re-admission.

Ernst & Young, the international auditing firm contracted by the government to screen the central bank`s accounts, revealed that payments amounting to 133bn/- were dubiously made to 22 domestic companies under External Payments Arrears (EPA) account scheme in 2005.

Some 90,359,078,804/- out of this was paid to 13 companies on the strength of fake or forged documents.



Another nine firms were said to have been paid an equivalent of 42,656,107,417/- without any documents to support their claims.
  • SOURCE: Guardian

Kwi kwi kwi kwi...Masikini wa Mungu...Huko Boko nao wanamsubiri Ballali na mama yake haamini kuwa Ballali alitaka azikwe huku!
Inatia sana huruma kwa baadhi ya ndugu jamaa na marafiki!
Kwani hapa Familia imegawanyika huku Mama akisema hivi na maiwaifu wa the late akisema hivi!
 
Kama hakuna suspect namba moja huo uchunguzi ni wa aina gani huo wa kina mwema?
Ni wa kutafuta habari kutoka wapi?
Habari za uchunguzi hazikuzingatia ushahidi wa Boss Mkuu wa chombo kilichotuibia mabilioni?

Mushi,

You sound very surprised on this, pole bwana. It is Tanzania you are talking about! Kwani aliyeidhinisha malipo alikuwa Ballali pekee? What about Katibu Mkuu Hazina, Waziri wa hazina na Ikulu?
 
Si unaona mambo haya? MKJJ mazishi wapi?

Govt probe continues despite Ballali`s death

2008-05-23 10:03:59
By Njonanje Samwel


Investigations into reports of gross mismanagement of funds in the Bank of Tanzania`s External Payment Arrears (EPA) Account will continue despite Friday`s death in the US of the bank`s immediate former governor, Daudi Ballali, the government has said.

The stand was given by Omega Ngole, Information Officer with the Attorney General`s Chambers, in an interview with The Guardian in Dar es Salaam yesterday.

President Jakaya Kikwete relieved Ballali of his duties after revelations that the former governor had occasioned a loss amounting to billions of shillings through shoddy dealings with phony companies in 2005.

Soon after, he named Prof. Beno Ndulu as Ballali`s successor at the central bank.

The President also formed a committee comprising Inspector General of Police Said Mwema, Attorney General Johnson Mwanyika, and Prevention and Combating of Corruption Bureau Director General Edward Hoseah to investigate the reports and recommend measures to be taken against those implicated in the scandal.

The team is scheduled to complete its assignment on June 9, this year.

Ngole said Ballali had never been classified as either a witness or a prime suspect.

``Who said Ballali was a suspect or witness? What I know is the team is still going on with its assignment and the six months period it was given elapses in June,`` he said, adding: ``We should give the bereaved family a break to mourn the death of their beloved one as we wait for the team`s findings. The team is progressing well.``

Meanwhile, the late governor`s body might be brought back home for burial from the US.

It was earlier reported that Ballali would be buried in Boston, USA, but sources told this paper yesterday that it is likely that his body would be brought home for burial.

Family members were meeting in Dar es Salaam to discuss the logistics involved, although the sources said the family was still divided on the issue.

Further information on Ballali`s death has been kept a secret and reporters yesterday were not allowed to go near the house where funeral arrangements were being made in Boko on the outskirts of Dar es Salaam.

Central Bank and government officials were, however, allowed in.

The road leading to the house, believed to belong to the late Ballali�s sister, was being levelled yesterday.

Sources told this paper that family members were divided on returning the body back because it is believed that Ballali left a message that he should be buried in USA.

``However, it is difficult because Ballali`s mother, who is too frail, will not agree his son to be buried in a foreign land. That is where the dilemma lies, said the source, who did not want his name mentioned.

He, however, said the family would listen to the government`s advice on burial plans. The government said on Wednesday however that Ballali`s burial would be managed by his family.

Ballali`s death was confirmed by the Bank of Tanzania on Wednesday.

BoT said in a statement that it learnt with shock on Tuesday night that the former governor died on Friday, May 16 in Boston, USA.

A relative told this paper that Ballali died after a long but unknown illness. Ballali was first taken to South Africa last year after he developed health complications.

He was later flown to Boston in US for further medical attention, where he was admitted.

In December, 2007, doctors released him after his health condition improved under the condition that he should stay at home for three months, that is, until March this year.
But his condition changed and started to deteriorate, forcing doctors to order his re-admission.

Ernst & Young, the international auditing firm contracted by the government to screen the central bank`s accounts, revealed that payments amounting to 133bn/- were dubiously made to 22 domestic companies under External Payments Arrears (EPA) account scheme in 2005.

Some 90,359,078,804/- out of this was paid to 13 companies on the strength of fake or forged documents.

Another nine firms were said to have been paid an equivalent of 42,656,107,417/- without any documents to support their claims.
  • SOURCE: Guardian

Sasa hii inahusiana vipi na mazishi yaliyofanyika leo Washington DC?
 
jamani imenibidi na mie nirudi maana....

sasa hiki kifo jamani iweje kusiruhusiwe kuchukuliwa any picha za kumbukumbu za msiba mziiima kuanzia siku aliyokufa mpaka mazishi??kweli can something like dat take place kwa mtu mkubwa kama balali?
2..je kwa mama yake watamdhihirishiaje kuwa ni mwanawe ndio amekufa wakati hata picha zake akiwa kwenye jeneza hamna??
3..iweje serikali hadi raisi leo kasema balali kafia boston,wakati mkewe anashikilia mmewe kafia washington nyumbani tena??
4..so it means ol dis tym serikali ilikua inajua where mr balali is lakini wakati ule de saga ikiwa too hot walidiriki kusema haijui balali alipo,mara kakimbilia wapi sijui kule,mara ooh kibali chake cha kuishi marekani kili sha expire na kutuwekea ma picha kedekede ya statement hiyo ikisomwa sasa mboni kafia humo humo???

if its a mchezo then i wud really like to ask serikali yetu irudi chini upyaa na kupanga vyema hili li movie na kuturudia na remix yake if not part two maana kwa hapa ilivyo ni ngumu kuaminika hasaaaaaa kwa serikali zeeetu hizi za kiafrica

kama ni kazi yake Mola basi haina makosaaa ila tu serikali haijatutendea haki sie wa Tz as tuna machungu bado na kujua kuhusu vijisenti vyetu
 
Marehemu alikuwa na Green Card, serikali ya US ilimnyanga'anya viza ya u-Governor aliyokuwa amepewa kama ofisa wa serikali yetu kuweza kuingia na kutoka US, lakini otherwise hata serikali yetu haikujua kuwa marehemu alikuwa na green card..

nimeshindwa maneno ya kuandika kuhusiana na hili ! ulichosema ni SIMPLY IMPOSSIBLE ! kazi za ugavana hapewi mtu yoyote tu yule bila ya uchunguzi ! either serikali ilijua au you made a mistake in your info ! sio kweli ! serikali has to know wanayempa kazi !

KadaMpinzani,

The guy is just out of whack clueless. I mean it is so absurd it's nauseating. US wangewezaje kumpa Visa nyingine ya kikazi kama tayari ana Permanent Resident Visa? Na Ubalozi wa US umeulizwa wiki hii, kama wali mfutia Visa kwanini hawajamtimua, wakasema hawagongi kila mlango wanatafuta illegal aliens. Kama ana Permanent Residence kwa nini ubalozi wa US u insinuate kwamba Mzee alikuwa illegal?

So una deal na multi-dimensional problem here.

Kwanza, jamaa issue hazielewi elewi vizuri. Mtu lazima ujue kwamba ukipewa non-immigrant Visa basi huwezi kuwa na Immigrant Visa wakati huo huo.

Pili, jamaa source zake sio impeccable. Aliteleza jana akadhihirisha source zake. Madai ni kwamba habari za kifo cha Ballali hata kijana wa UCONN basketball hajui. Rationale yake ni kwamba dogo lazima angeambiwa na Wazungu wa Boston. Hizi ndio source zake jamani! Yule mtoto ambae alikutana na Rais kafunika uso na baseball hat unanambia anaheshimu au anajalali lolote kuhusu Siasa za Bongo yule wa kuchukua habari kwake unatuletea JF. You kidding me? Halafu sio mgeni kwa yule kijana mimi. The kid is just - well, a kid. Let's leave at that. Huwezi kuniletea mimi political analysis ya Bongo if the conduit of your information is a kid athlete who may actually need advice from Field Marshall himself.

Tatizo la tatu, na muhimu kuliko yote ni mass deception anayo i effect huyu mtu. I mean he garners cult-like adherence to whatever he dishes out. With the kind of rationale he exudes in these forums, I couldn't figure in a million years how he won his following. Absolutely amazing!

I mean huyu mtu kasema jana kwamba kwenye State ya Massachusetts unaweza kupata info za mgonjwa kwenye internet. Watu wanaishi Marekani hapa miaka enda rudi halafu kweli mtu anatamka kitu kama hicho unaendelea kum grant credibility? Such informational and analytical travesty? I mean you would think JF is predominantly of tech-savvy, socially conscious and informed members watakao google vitu kabla kuvibugia, hata kama you have no concept of 'patient confidentiality' norms, which are almost unbreakable everywhere in America.

I'm done talking. I mean, duuh, vituko vimejaa humu!
 
Haya.....

Balali aagwa

2008-05-23 22:08:10
Na Mwandishi Dar, Mashirika


Aliyekuwa Gavana wa Tanzania, Dokta Daud Balali aliyefariki Ijumaa iliyopita huko nchini Marekani, hatimaye ameagwa rasmi na ndugu na wapendwa wake, kabla ya mwili wake kupelekwa kwenye makazi yake mapya atakapopata pumziko la milele.

Taarifa za mtandao zilizothibitishwa na baadhi ya jamaa wa gavana huyo waishio Marekani zinadai kwamba, familia ya yake iliyo huko majuu na watu wa karibu, waliaga mwili wake Jumanne wiki hii.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, Jumanne ndiyo ilikuwa fursa pekee ya watu maalum waliopewa kibali kuona mwili wa Dk. Balali.

Imedaiwa kuwa leo, hakutakuwa na uwezekano wowote wa waombolezaji kuonyeshwa mwili wa marehemu.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, misa ya kumuombea marehemu ilitarajia kufanyika leo kuanzia saa 4:00 asubuhi (kwa saa za huko) katika kanisa la St. Stephen Martyr lilililo Pennsylvania Ave, NW Washingiton DC. (Pichani ukurasa wa mbele).

Ilielezwa kuwa mazishi yatafanyika katika makaburi ya ``Lango la Mbinguni\'\' yaliyopo eneo la Silver Spring, mjini Washington leo mchana. (kwa saa za kule).

Taarifa zaidi zinadai kuwa shughuli hiyo nzima ni marufuku kwa wazamiaji ambao hawajaalikwa na kwamba ni maalum kwa ndugu, jamaa, na marafiki wa karibu.

Habari za mtandao zinasema bado haijajulikana kwa uhakika kama mwili wa marehemu utazikwa ardhini kama ilivyo desturi ya Kiafrika au utateketezwa kwa moto kwani makaburi hayo yanatoa huduma hiyo pia.

Kama ulikuwa ni wosia wake kuteketezwa, basi kwa kanuni za Kanisa Katoliki shughuli hiyo, itafanyika mara tu baada ya ibada.

Kwa kanuni za Kanisa Katoliki mwili uliolazwa kwa njia ya kuteketezwa kwa moto mabaki yake (majivu) hawapewi familia, kusambazwa au kugawanywa katika mafungu madogo madogo na badala yake ni lazima viwekwe ardhini au kwenye sehemu maalum inayotumika kwa maziko ya namna hiyo.

Dk. Ballali ambaye amefariki akiwa amezungukwa na wingu kubwa la kashfa dhidi yake na dhidi ya taasisi aliyoingoza inasemakana aliacha wosia uliotaka atakapofariki basi azikwe Marekani.

Taarifa zaidi zimedai kuwa ibada ya mazishi inatarajiwa kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiongozwa na Balozi wa Tanzani nchini Marekani Bw. Ombeni Sefue, watumishi wa idara mbalimbali alizowahi kuzitumikia ikiwemo IMF, ndugu zake ambao waliwasili siku chache zilizopita, na baadhi ya Watanzania kadhaa waishio maeneo ya Washington DC.

Balali alizaliwa mwaka 1942 huko Iringa. Baada ya Elimu ya msingi na sekondari alipata shahada ya kwanza katika Uchumi mwaka 1965 toka Chuo Kikuu cha Howard nchini Marekani na kupata shahada ya pili toka Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Marekani miaka miwili baadaye.

Alijiunga na Benki Kuu ya Tanzania mwaka 1967 na kupanda ngazi taratibu hadi kufikia cheo cha Ukurugenzi wa Utafiti mwaka 1973.

Baada ya hapo ndipo alipoanza kazi katika shirika la Fedha Duniani, IMF hadi mwaka 1997 alipoitwa nyumbani na Rais Mkapa na kuteuliwa kuwa mshauri wa Rais mambo ya Uchumi. Mwaka 1998 aliteuliwa na Rais kuwa Gavana mpya wa Benki Kuu
Ballali ameacha mke na familia.
  • SOURCE: Alasiri
 
Sasa hii inahusiana vipi na mazishi yaliyofanyika leo Washington DC?
CLASSIFICATION YA SERIKALI KUWA HAKUWA WITNESS WALA PRIME SUSPECT
UNDER WHICH GROUNDS AND CIRCUMSTANCES HUYU ALIYEKUWA MKUU WA INSTITUTION YETU WAKATI WA UJAMBAZI HUO ASIWE SHAHIDI AMA PRIME SUSPECT KWENYE KESI KUBWA KAMA HII?
 
Yani kashfa yote hii ya EPA yeye si shahidi wala hausiani kabisa na Scandal?!
Hapo kazi itakuwa kwenye kuwaelewesha watu wa kawaida kama sisi tusiojua siri!
 
Huu mimi nauita mchezo mbaya wa kurudi kinyume nyume!
Yani waanze kuwahoji watu wasiohusika...Wavute muda hadi mtu afe ndio tena waendelee na huo wanaouita uchunguzi!
 
jmushi consolidate posts basi.

There is such a thing as editing one's post, with addition, correction, deletion etc.Siyo lazima kila sentensi mbili ziwe na post yake.

Hii ni kama netiquette 101 pamoja na anti-flaming, anti-capping etc.
 
Haya.....

Balali aagwa

2008-05-23 22:08:10
Na Mwandishi Dar, Mashirika


Aliyekuwa Gavana wa Tanzania, Dokta Daud Balali aliyefariki Ijumaa iliyopita huko nchini Marekani, hatimaye ameagwa rasmi na ndugu na wapendwa wake, kabla ya mwili wake kupelekwa kwenye makazi yake mapya atakapopata pumziko la milele.

Taarifa za mtandao zilizothibitishwa na baadhi ya jamaa wa gavana huyo waishio Marekani zinadai kwamba, familia ya yake iliyo huko majuu na watu wa karibu, waliaga mwili wake Jumanne wiki hii.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, Jumanne ndiyo ilikuwa fursa pekee ya watu maalum waliopewa kibali kuona mwili wa Dk. Balali.

Imedaiwa kuwa leo, hakutakuwa na uwezekano wowote wa waombolezaji kuonyeshwa mwili wa marehemu.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, misa ya kumuombea marehemu ilitarajia kufanyika leo kuanzia saa 4:00 asubuhi (kwa saa za huko) katika kanisa la St. Stephen Martyr lilililo Pennsylvania Ave, NW Washingiton DC. (Pichani ukurasa wa mbele).

Ilielezwa kuwa mazishi yatafanyika katika makaburi ya ``Lango la Mbinguni\'\' yaliyopo eneo la Silver Spring, mjini Washington leo mchana. (kwa saa za kule).

Taarifa zaidi zinadai kuwa shughuli hiyo nzima ni marufuku kwa wazamiaji ambao hawajaalikwa na kwamba ni maalum kwa ndugu, jamaa, na marafiki wa karibu.

Habari za mtandao zinasema bado haijajulikana kwa uhakika kama mwili wa marehemu utazikwa ardhini kama ilivyo desturi ya Kiafrika au utateketezwa kwa moto kwani makaburi hayo yanatoa huduma hiyo pia.

Kama ulikuwa ni wosia wake kuteketezwa, basi kwa kanuni za Kanisa Katoliki shughuli hiyo, itafanyika mara tu baada ya ibada.

Kwa kanuni za Kanisa Katoliki mwili uliolazwa kwa njia ya kuteketezwa kwa moto mabaki yake (majivu) hawapewi familia, kusambazwa au kugawanywa katika mafungu madogo madogo na badala yake ni lazima viwekwe ardhini au kwenye sehemu maalum inayotumika kwa maziko ya namna hiyo.

Dk. Ballali ambaye amefariki akiwa amezungukwa na wingu kubwa la kashfa dhidi yake na dhidi ya taasisi aliyoingoza inasemakana aliacha wosia uliotaka atakapofariki basi azikwe Marekani.

Taarifa zaidi zimedai kuwa ibada ya mazishi inatarajiwa kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiongozwa na Balozi wa Tanzani nchini Marekani Bw. Ombeni Sefue, watumishi wa idara mbalimbali alizowahi kuzitumikia ikiwemo IMF, ndugu zake ambao waliwasili siku chache zilizopita, na baadhi ya Watanzania kadhaa waishio maeneo ya Washington DC.

Balali alizaliwa mwaka 1942 huko Iringa. Baada ya Elimu ya msingi na sekondari alipata shahada ya kwanza katika Uchumi mwaka 1965 toka Chuo Kikuu cha Howard nchini Marekani na kupata shahada ya pili toka Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Marekani miaka miwili baadaye.

Alijiunga na Benki Kuu ya Tanzania mwaka 1967 na kupanda ngazi taratibu hadi kufikia cheo cha Ukurugenzi wa Utafiti mwaka 1973.

Baada ya hapo ndipo alipoanza kazi katika shirika la Fedha Duniani, IMF hadi mwaka 1997 alipoitwa nyumbani na Rais Mkapa na kuteuliwa kuwa mshauri wa Rais mambo ya Uchumi. Mwaka 1998 aliteuliwa na Rais kuwa Gavana mpya wa Benki Kuu
Ballali ameacha mke na familia.
  • SOURCE: Alasiri

kumbe magazeti nayo yanasubiri kulishwa sumu ya humu si mchezo
 
KadaMpinzani,

The guy is just out of whack clueless. I mean it is so absurd it's nauseating. US wangewezaje kumpa Visa nyingine ya kikazi kama tayari ana Permanent Resident Visa? Na Ubalozi umeulizwa wiki hii, kama wali mfutia Visa kwanini hamjamleta, wakasema hawagongi kila mlango wanatafuta illegal aliens. Kama ana Permanent Residence kwa nini ubalozi u insinuate kwamba Mzee alikuwa illegal?

So una deal na multi-dimensional problem here.

Kwanza, jamaa issue hazielewi elewi vizuri. Mtu lazima ujue kwamba ukipewa non-immigrant Visa basi huwezi kuwa na Immigrant Visa wakati huo huo.

Pili, jamaa source zake sio impeccable. Aliteleza jana akadhihirisha source zake. Madai ni kwamba habari za kifo cha Ballali hata kijana wa UCONN basketball hajui. Rationale yake ni kwamba dogo lazima angeambiwa na Wazungu wa Boston. Hizi ndio source zake jamani! Yule mtoto ambae alikutana na Rais kafunika uso na baseball hat unanambia anaheshimu au anajalali lolote kuhusu Siasa za Bongo yule wa kuchukua habari kwake unatuletea JF. You kidding me? Halafu sio mgeni kwa yule kijana mimi. The kid is just - well, a kid. Let's leave at that. Huwezi kuniletea mimi political analysis ya Bongo if the conduit of your information is a kid athlete who may actually need advice from Field Marshall himself.

Tatizo la tatu, na muhimu kuliko yote ni mass deception anayo i effect huyu mtu. I mean he garners cult-like adherence to whatever he dishes out. With the kind of rationale he exudes in these forums, I couldn't figure in a million years how he won his following. Absolutely amazing!

I mean huyu mtu kasema jana kwamba kwenye State ya Massachusetts unaweza kupata info za mgonjwa kwenye internet. Watu wanaishi Marekani hapa miaka enda rudi halafu kweli mtu anatamka kitu kama hicho unaendelea kum grant credibility? Such informational and analytical travesty? I mean you would think JF is predominantly of tech-savvy, socially conscious and informed members watakao google vitu kabla kuvibugia, hata kama you have no concept of 'patient confidentiallity' norms, which are almost unbreakable everywhere in America.

I'm done talking. I mean, duuh, vituko vimejaa humu!

Kuhani,

Si ndio maana nimewaanzishia mpambano wa nani Zaidi kati yako na Jemedari Jenerali? nenda kapige tizi na kuanda mikakati`kwa mpambano!
 
Hivi mbona watu mmekuwa obsessed na kubishana wenyewe kwa wenyewe . What is someone going to benefit by wiining an argument at JF ?
 
Nilivyo Kuwa Mtoto Nilikuwa Rahisi Kudanganywa Na Gossips. Lakini Nimekua Mtu Mzima Sasa Na......
 
Hivi mbona watu mmekuwa obsessed na kubishana wenyewe kwa wenyewe . What is someone going to benefit by wiining an argument at JF ?

Arguments can set the record straight, as well as kuweka wazi mchele na chuya to say nothing of the mental jujitsu entertainment for the bloodthirsty.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom