YNIM
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 2,215
- 25
KadaMpinzani,
The guy is just out of whack clueless. I mean it is so absurd it's nauseating. US wangewezaje kumpa Visa nyingine ya kikazi kama tayari ana Permanent Resident Visa? Na Ubalozi umeulizwa wiki hii, kama wali mfutia Visa kwanini hamjamleta, wakasema hawagongi kila mlango wanatafuta illegal aliens. Kama ana Permanent Residence kwa nini ubalozi u insinuate kwamba Mzee alikuwa illegal?
So una deal na multi-dimensional problem here.
Kwanza, jamaa issue hazielewi elewi vizuri. Mtu lazima ujue kwamba ukipewa non-immigrant Visa basi huwezi kuwa na Immigrant Visa wakati huo huo.
Pili, jamaa source zake sio impeccable. Aliteleza jana akadhihirisha source zake. Madai ni kwamba habari za kifo cha Ballali hata kijana wa UCONN basketball hajui. Rationale yake ni kwamba dogo lazima angeambiwa na Wazungu wa Boston. Hizi ndio source zake jamani! Yule mtoto ambae alikutana na Rais kafunika uso na baseball hat unanambia anaheshimu au anajalali lolote kuhusu Siasa za Bongo yule wa kuchukua habari kwake unatuletea JF. You kidding me? Halafu sio mgeni kwa yule kijana mimi. The kid is just - well, a kid. Let's leave at that. Huwezi kuniletea mimi political analysis ya Bongo if the conduit of your information is a kid athlete who may actually need advice from Field Marshall himself.
Tatizo la tatu, na muhimu kuliko yote ni mass deception anayo i effect huyu mtu. I mean he garners cult-like adherence to whatever he dishes out. With the kind of rationale he exudes in these forums, I couldn't figure in a million years how he won his following. Absolutely amazing!
I mean huyu mtu kasema jana kwamba kwenye State ya Massachusetts unaweza kupata info za mgonjwa kwenye internet. Watu wanaishi Marekani hapa miaka enda rudi halafu kweli mtu anatamka kitu kama hicho unaendelea kum grant credibility? Such informational and analytical travesty? I mean you would think JF is predominantly of tech-savvy, socially conscious and informed members watakao google vitu kabla kuvibugia, hata kama you have no concept of 'patient confidentiallity' norms, which are almost unbreakable everywhere in America.
I'm done talking. I mean, duuh, vituko vimejaa humu!
...inasikitisha, lakini ukisema sana utaishia kuonekana adui!! ndio maana jana mie nikasema "nimezima fegi, mie jibwa koko malumbano siwezi."!!! hili ndio tatizo mojawapo kubwa sana linalotuangusha waTZ.......ujuaji, wakati hata ile baseline knowledge juu ya mambo inayumba!! ukisema ukweli unaonekana wewe namna gani na blah blah, ni sawa na yule mwingine kila siku anakuja hapa na hadithi zake za Nyerere utafikiri sisi hatukuishi wakati wa Nyerere...au sijui nini, mara nyingine ua nadhaniaga kuwa hawa jamaa ni mentally handicapped kiana flani!!! Gademu.
loooh, au bila kujua nimewasha moto chini ya mzinga wa nyuki???!! mtanisamehe, kwani nilikuwa sina taarifa hizo.......LOL