It's toward the latter portion of his interview with Scott Pelley on "60 Minutes."
PELLEY: How's your health?
MCCAIN: It's excellent. It's excellent. Excellent. Thank you. And we'll be doing the-- medical records-- thing with the media sometime in the next month or two.
PELLEY:
There has been some criticism that you have not released your medical records. You're saying in this interview that you're about to do that. MCCAIN: Oh, yeah, we'll do it in the next month or so, yeah.
PELLEY: Is it fair to say that, at this point in time, there's no sign of a recurrence in cancer?
MCCAIN: Oh no. No. There's none.
source ni
www.politico.com
.........sasa kama huwa zinapatyikana tu kwenye net, iweje za Mccain zisipatikane mpaka wanamwomba azitoe!!???
FAST FORWARD....
kesha zitoa jana ijumaa May 23rd 08......zipo kwenye net sasa hii!! now isije mtu aka confuse ukweli wa mambo hapa!!
wakuu hatushindani, ila ni kuwekana sawa tu ktk kuelimishana..........kama mtu anashindana basi tutakuwa hatujitendei haki wenyewe na ni huu ushindani unaofanya hata serikali yetu inashindwa mambo mengi........kwani ni kukomoa upinzani na wao kushinda wakati ni sisi(wananchi) tunaoumia!! ktk ishu hii, ushindani huu unapelekea kupotoshana na kujengeana uadui hapa "kijiweni" usio na maana yeyote!.