Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki!

Status
Not open for further replies.
siku za karibuni hapa bodini kumekuwa na vituko sana.....inafurahisha na kupunguza stress!! keep it up people.
 
Field Marshall, ni vizuri ume come clean!

I wish you a quick recovery...

Mkuu recovery ujiombee mwenyewe maana sisi tunaweka ukweli kuwa agenda yako hapa JF ni kuisafisha na kuifagilia CUF, na kumfagilia Salim, ambaye ninasikia anafikiria sana kugombea kupitia CUF, lakini bado hajamua,

Inapokuja kwenye dataz hata za kwako tunazo mkuu na ile mikutano yako ya siri ya CUF kule DC basement, masikini ya mungu hukujua kuwa ulikuwa unamulikwa kila kona!
 
Please tell me kama hizo life support machines ziliwekwa nyumbani kwake kama kweli alifia nyumbani. Tokea lini watu binafsi wakaruhusiwa kuwa na life support machines nyumbani maana huyu kijana Tom cruise alinunua machine ya ultra sound na ikawa issue. Haya Balali naye alinunua life support machines? Is there a law about these machines? coz I have searched the damn net and I could not find anything to insinuate such usage unless in hospices for Old people.
 
mwili uko devol funeral home for preparation ya mazishi (wisconsin Avenue, Georgetown DC.) 2222 wisconsin ave, NW, Washington DC
 

Si tuliambiwa huyu Ballali ni mwislam, sasa misa ya nini tena? au hata dini yake ya kweli haijulikani? Jana kuna mtu aliandika hapa kwamba mwili wake hautaonyeshwa kwa sababu alikuwa ni mwislam, au habari hiyo haikuwa na ukweli?
 

Maswali amabayo takriban kila mtanzania bila kujali nafasi zetu tunaendelea kujiuliza!
 

Swali langu jamani mwanaJJ, naomba unijibu. Hizo life support machines zilikuwa nyumbani kwake?? Je alizinunua? Je kuna sheria ya mtu kuwa na life support machines nyumbani??

Ndugu zake Balali mtanisamehe kwa kweli, mtueleze ukweli wa hizo life support machines!! Hela za watanzania au za nani? Mlizikodi hospitalini?
 
Kwa hiyo kama nimeelewa mwili utatoka hapo devol halafu kwenda kanisani then kwenye cemetry?
 

una point, lakini ukweli ni kwamba watu wengi tu wana life support majumbani.....hasa wagonjwa wa ALS(lou Gehrics), MS, Spinal cord injuries e.t.c kama family itakuwa imeomba na sometimes kama ni long term ili kupunguza gharama za mgonjwa kuwa hospitali...depends, lakini kunaweza kuwa na VN(visiting nurse) around the clock au ana-show-up once Q8h. watatakiwa tu kuwa na special eqpmts, kama back up ya umeme na teachings nyingine ndogo ndogo....it is very possible..... sio lazima mashine ununue, inaweza kuwa ni ya ku-rent au vinginevyo...suala la Tom Cruise walikuwa wanamwonea tu( i believe hiyo ilikuwa baada ya ile "famous jump" ya kwenye couch la Oprah)!!

true story.
 
Bimkubwa... miye nimeripoti tu jinsi habari zilivyo na watu wenyewe wahoji maswali kama ya kwako na natumaini tutapata majibu. Binafsi sijasema nini hasa ninaamini au nafikiri, ninawaletea taarifa tu kwa kadiri ambavyo zinatiririka Studio... maswali mnayoyauliza ndiyo ninayatafutia majibu...
 
Nimesema na ninazisimamia dataz zangu, kuwa Marehemu Balali, alikwenda US akiwa anaumwa akalazwa hospitali na hatimaye kupona kabisaa alitoka hospitali mwezi wa pili, since then hajaumwa tena mpaka majuzi alipofariki ghafla,

Na ninarudia tena kuwa waliokuwa na interest kubwa against Marehemu, ni awamu ya tatu, looking forward kuchambua facts I mean mnyonge mnyongeni lakini ukweli uwekwe wazi! Na hatuna uoga kwenye hili, hakukuwa na life support sio ukweli, hizi ni hadithi zinazorushwa na watu wasiokuwa wema, mchukie mtu kwa sababu lakini akitangulia kwenye haki imetosha muache!
 

Halafu wale ndugu zake(margareth na mwenzake) kutoka Bongo walitumwa waje baada ya Ballali kuzidiwa lakini hawakupata nafasi ya kumuona kwasababu kifo chake kilishatokea kabla ama wakati wamefika hapa US!
Kwa hiyo hata wao wanaweza wasiuone mwili kwasababu walkuta amekufa wakati wanafika..Kitu ambacho walikuwa hawajui kabla ya kuondoka bongo! Na hivyo basi kumiss bahati ya kumwona Ballali!
Na hao ndio wanaodaiwa kuwa watapeleka hizo siri na taarifa za kifo za Ballali huko bongo mara baada ya mazishi!
Yani hapa tabu sana!
Hawa nao watawekwa sawa tu hata kama wasipouona mwili!
 

life support nyumbani inawezakana.........na hakuna sheria inayokataza bila exceptions!!! asante.
 

Nimefurahi Jmushi umerudi kundini sasa, Thanx kwa kuamini kwako sasa. Karibu tena JF.
 
YournameisMINE

Nimekuelewa.

Naona unaji nukuu mwenyewe.

Misuli miiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi!
 
Nimefurahi Jmushi umerudi kundini sasa, Thanx kwa kuamini kwako sasa. Karibu tena JF.

Mi nakwambia kila kitu ni mazingaombwe!
Hii issue ni kubwa ndugu yangu uelewe hivyo!
Watu wana mamia ya mamilioni ya US dollars!
We hujui US D milioni kama 1 tu inatosha kuleta machafuko ndio iwe hii issue ya mamia?
Hiyo pesa inaweza kununua hata congressman hapa USA!
We uanachukulia issue easy easy...Mtandao ni mkubwa na wa kimafia ndugu yangu!
 
YournameisMINE

Nimekuelewa.

Naona unaji nukuu mwenyewe.

Misuli miiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi!

nilikuwa napigia mstari, maana naona MKJJ katoa timu na dada anasisitiza jibu lake.........
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…