YNIM
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 2,215
- 25
Mkuu haya huyajui kabisaa, the kid anasoma CT, lakini huishi kwa kimwana Boston, tunaweza hata kukutajia jina na address, hatujawahi kubahatisha hata siku moja, ninarudia kuwa katika kutafuta dataz huwa tunagusa kila mahali,
Mkuu inapokuja kwenye ukweli wa ishus, bado huna dataz sasa kubali yaishe kuliko kujaribu kulazimisha ishu na the kid, ambaye kuna tunao ongea naye karibu kila siku, kuuliza dataz ni one thing na kutafunwa na wivu ni another thing, kila unapojaribu huwezi, umelilia search warrant ukaambiwa ni kweli Chenge alipekuliwa, sasa unalilia the kid lakini dataz za kifo cha Blalli huna!
Mkuu YRS, angalia ndugu yangu wewe najua ni kichwa siwezi kukuweka kundi moja na huyu mzee wa logic za chooni, ninarudia kuwa kama ni the kid naye pia hamna dataz, kifo nacho huna dataz, dawa ni kunyamaza tu bro ulishwe dataz hapa, ndio maana upo hapa 24 hours, vipi huna kazi bro?
FMES,
nilijua kuwa nitakuwa nimekuudhi, lakini nilitanguliza samahani zangu....najua tunaheshimiana na sita vuka mstari!!! hiyo kwenye rangi naweza kubisha, lakini najua nitakuudhi zaidi....pia sitataka kuongea zaidi juu ya huyo jamaa!! goodnight and goodluck.