Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Huo mwandiko nimeshaustukia. Ngoja nimstahi mjukuu wangu....Kwanini umekuja na ID mpya? Hutaki tujue ww ni nani mkongwe humu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mwandiko nimeshaustukia. Ngoja nimstahi mjukuu wangu....Kwanini umekuja na ID mpya? Hutaki tujue ww ni nani mkongwe humu...
Poa,nilikuwa sijaona comment yako hapa.Mambo mrembo
Akishtuka akilalamika unamwambia sorry dudu limekosea njia. Ukiona kimya mpelekee moto 🔥🔥🔥Mzee wa kupambania Wadada wengi nikiwaomba tigo wanakataa, me naomba tigo style ile ya kujifanya nimekosea tundu
Bora kutokuolewa, bora kujilinda na kuilinda afya yako, bora kujitengeneza kiakili na kiuchumi.Habarini wana JF,
Leo nimeamua kushare na nyie jambo linaloniumiza sana sana, mimi ni jinsia Ke. Nilikua na mahusiano na mwanaume niliyempenda lakini amekua akipenda mchezo huo mchafu.
Nakumbuka nilikua ninamkatalia ila sijui ni shetani ilifika siku nilimkubalia, nadhani tumefanya sasa ni takriban mwaka mmoja japo tumekua hatufanyi mara zote tunapokutana.
Kusema kweli roho inaniuma sana, najiona mkosefu mbele ya Mungu wangu, nalia kila siku asubuhi ninapoiwaza dhambi hii, cha ajabu mwenzangu alikua haoni kama ni jambo la ajabu ndio kwanza alikua ananiambia mbona watu wanafanya ndani ya ndoa na inaonekana marafiki zake wanafanya pia.
Roho inaniuma najuta hata kwanini nilikutana na huyu mwanaume, ukimuona ni mstaraabu huwezi mdhania, anajifanya na yeye ulikua sio mchezo wake ila sio kweli maana kila tukikutana faragha likua anataka kunyonya huko nyuma.
Umri wangu umeenda nipo kwenye early 30th sasa, na sababu ya kutomuacha ni sababu ya malengo tuliyokua nayo na uhitaji wa ndoa na hata watoto lakini nimekaa nimefikiria sana.
Naona kwangu amani ya moyo wangu na pia afya yangu ni muhimu pia ,acha tu umri wangu uende hata bila ndoa kuliko kuja kuharibikia.
Namshukuru Mungu amenipa kazi nzuri na nna kipato tu kizuri kiasi kwamba hata nitakapopata watoto bado nina uwezo wa kuwalea pasipo hata kuolewa.
Nimekua nikisoma thread mbalimbali watu wanasema ni ngumu kuacha huu mchezo, mimi nasema ni rahisi kuacha huu mchezo kama unajua madhara yake na una utayari,nachowaza ni kwamba itakuaje nipate mwenza mpya na aje kugundua nimeshafanya huu mchezo!!,sijajua itakuaje ila all in all nimeamua kumove on,pia sio kweli et ukifanya hayo mambo unashindwa kuzuia haja ,ni mpaka ue mzoefu wa miaka 5 ndio utapata haya madhara.
Nakusihi wewe dada unaesoma uzi huu, acha kumuendekeza huyo mwanaume anaekufanyia mchezo mchafu, hakupendi na atakuacha siku ukishaharibikiwa, ukishindwa kuzuia haja na utakapoanza kuweka pampaz, mimi namshukuru Mungu kwa kuniokoa kamwe sitakaa kufanya tena hii dhambi.
Hapa wanaume wengi watamponda dada wawatu wakati wao ndio tabia zao hizo ......kila kitu kinawezekana kuacha ni kuamua tu....pengine uyo dada kweli kaamua kuacha na hatorudia
Wadada kwa unafiki hii michezo wengi mnaicheza ila humu mnajifanya watakatifuBora kutokuolewa, bora kujilinda na kuilinda afya yako, bora kujitengeneza kiakili na kiuchumi.
Mdada ukipatana na mwanaume wa namna hyo muache wanaume wazuri na wenye akil timamu wapo wengi sana. Wengi sana ni swala la muda
Usipende kuzungumzia kitu usichokua na uhakika nacho....sawa basi mm na wewe ndio tulifanyiana huo mchezo....Wadada kwa unafiki hii michezo wengi mnaicheza ila humu mnajifanya watakatifu
We kama hua unaliwa sema...lkn sio kuniita me mnafkiWadada kwa unafiki hii michezo wengi mnaicheza ila humu mnajifanya watakatifu
Kwani nimekutaja wewe dada yangu. Kama unataka nitafute PMUsipende kuzungumzia kitu usichokua na uhakika nacho....sawa basi mm na wewe ndio tulifanyiana huo mchezo....
Hiz ni promo tu mkuu.kubal kataa watu wako kazin ku implant haya mambo kwenye akil za weng mpaka kionekane kitu cha kawaida hikWe dont have to be judgemental jamani maswahibu yanawakuta binadamu yoyote
Unakosea dada yangu sijakutaja kama una hiyo michezo. Ila kwa nini upanick kama sio michezo yako dada yanguWe kama hua unaliwa sema...lkn sio kuniita me mnafki
Weka alama ya mkasi nlipokosea kaka anguUnakosea dada yangu sijakutaja kama una hiyo michezo. Ila kwa nini upanick kama sio michezo yako dada yangu
Weka alama ya mkasi nlipokosea kaka angu
Haya ni michezo yangu kaka angu...kwani na ww ushaacha hiyo michezo na mjomba ako kaka angu
Ndio nafanywa....unataka anaenifanya aje akufanye na wwHayo ndo maneno sasa kumbe unafanywa vilikuwa ni vitu vya kuelewana tu kumbee.
Kilichobaki njoo pm tuyajenge mrembo ninyandue hilo jicho
Ukweli mtupuWadada kwa unafiki hii michezo wengi mnaicheza ila humu mnajifanya watakatifu
Umeonaee mzabzab ila ukiongea unaonekana mbaya. Hivi game ya Man U imeishaje?Ukweli mtupu
Dah!U r useless...sasa wee umepewa doggy style utumie both lines wee unambwela 🤣🤣🤣🤣🤣