Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Aya maisha ni mzunguko tu....waga nawaonea sana huruma wanaume, wanawake wanaofanya vitendo hivi.

..hawa ndio wanaofanya leo hii laana iangukie kwa watoto matokeo yake watoto wengi wa leo wanazaliwa ma gay, lesbian

Kawasababu shahawa zinaenda kwenye kinyesi theni zinaenda tena mbele tutegemee nini basi kama sio kuzaa watoto wasio na utimilifu wa homoni .....halafu badae tunaanza kulalamika.....
 
Hapa wanaume wengi watamponda dada wawatu wakati wao ndio tabia zao hizo ......kila kitu kinawezekana kuacha ni kuamua tu....pengine uyo dada kweli kaamua kuacha na hatorudia
 
Bora kutokuolewa, bora kujilinda na kuilinda afya yako, bora kujitengeneza kiakili na kiuchumi.
Mdada ukipatana na mwanaume wa namna hyo muache wanaume wazuri na wenye akil timamu wapo wengi sana. Wengi sana ni swala la muda
 
Hapa wanaume wengi watamponda dada wawatu wakati wao ndio tabia zao hizo ......kila kitu kinawezekana kuacha ni kuamua tu....pengine uyo dada kweli kaamua kuacha na hatorudia
Bora kutokuolewa, bora kujilinda na kuilinda afya yako, bora kujitengeneza kiakili na kiuchumi.
Mdada ukipatana na mwanaume wa namna hyo muache wanaume wazuri na wenye akil timamu wapo wengi sana. Wengi sana ni swala la muda
Wadada kwa unafiki hii michezo wengi mnaicheza ila humu mnajifanya watakatifu
 
Samehe nafsi yako kabisaaaaa Mungu ni mwingi wa huruma amini kwamba ameshakusamehe kabisa na kusikia maombi yako...Mimi nakutakia kila la kheri unapoendelea na maisha yako mapyA "all the best"
 
We dont have to be judgemental jamani maswahibu yanawakuta binadamu yoyote
Hiz ni promo tu mkuu.kubal kataa watu wako kazin ku implant haya mambo kwenye akil za weng mpaka kionekane kitu cha kawaida hik
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…