kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,424
ndo najifunzaa ntajua tuuh mkuuPombe Sio Chai Ww
kwako siyo sifa mkuuUnafikiri ulichokiandika ni sifa au ujinga?
Katibu kundiniWakuu nimeleta mrejesho wa uzi wangu niliokuwa naomba ushauri jinsi ya kuanza kunywa Ethanol, kiukweli nimegundua kuna kitu nilikuwa namiss, maana nimeuona ulimwengu ni wa tofautii sanaa kwa sasa, mana home nachelewaa kirudiii, nafanya kazii nikiwa na hang over kitu ambacho sijawahi ki experience kea kwelii
Nipende kuwashukuru wana Jf kwa mawazo yenu mazuri
mzidi kubarikiwa
Wasalaaam
Basi huna akilikwako siyo sifa mkuu
Hata makosa ya kiuandishi uliyofanya kwenye uzi huu ni dhahiri ulikuwa na hangoverWakuu nimeleta mrejesho wa uzi wangu niliokuwa naomba ushauri jinsi ya kuanza kunywa Ethanol, kiukweli nimegundua kuna kitu nilikuwa namiss, maana nimeuona ulimwengu ni wa tofautii sanaa kwa sasa, mana home nachelewaa kirudiii, nafanya kazii nikiwa na hang over kitu ambacho sijawahi ki experience kea kwelii
Nipende kuwashukuru wana Jf kwa mawazo yenu mazuri
mzidi kubarikiwa
Wasalaaam
Wakuu nimeleta mrejesho wa uzi wangu niliokuwa naomba ushauri jinsi ya kuanza kunywa Ethanol, kiukweli nimegundua kuna kitu nilikuwa namiss, maana nimeuona ulimwengu ni wa tofautii sanaa kwa sasa, mana home nachelewaa kirudiii, nafanya kazii nikiwa na hang over kitu ambacho sijawahi ki experience kea kwelii
Nipende kuwashukuru wana Jf kwa mawazo yenu mazuri
mzidi kubarikiwa
Wasalaaam