kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,424
Wakuu nimeleta mrejesho wa uzi wangu niliokuwa naomba ushauri jinsi ya kuanza kunywa Ethanol, kiukweli nimegundua kuna kitu nilikuwa namiss, maana nimeuona ulimwengu ni wa tofautii sanaa kwa sasa, mana home nachelewaa kirudiii, nafanya kazii nikiwa na hang over kitu ambacho sijawahi ki experience kea kwelii
Nipende kuwashukuru wana Jf kwa mawazo yenu mazuri
mzidi kubarikiwa
Wasalaaam
Nipende kuwashukuru wana Jf kwa mawazo yenu mazuri
mzidi kubarikiwa
Wasalaaam