Hatimaye nimeanza kunywa pombe.

wakuu hebu nielezenii, hivii kuvimba uso ni madhra ya pombe auu, maana jana nimekunywa nimejikuta uso umevimba
 
Nilidhani unasema umeacha kunywa pombe!
 
dah humu jf kuna watu wa kila aina ya IQ ona huyu anajisifia kunywa pombe
 
Wewe ni lilevi likongwe hadi hangova unaijua usilete usanii kwenye jumba la sanaa
Hako ka style tulisha kaacha enzi za mwalim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…