Hatimaye nimeanza kunywa pombe.

Hatimaye nimeanza kunywa pombe.

Karibu kundini..kuna wine inaitwa namaqua..glass mbili tu unakua satisfied na unalewa vzuri sana..tofauti na hapo tumia henken au windhoek hutopata hangover asbhi wala kichwa kuuma..so ratiba yako haitawahi haribika mida ya asbhi.
 
Dah.... Juzi ndiyo nimeamini kuwa chai ina madhara makubwa kwenye ubongo kuliko pombe.....nilipiga pombe hadi SAA 10 usiku nikarudi home niko poa tu....nikamkuta dem wangu aliyekunywa chai kavunjavunja kila kitu.....akapiga kelele hadi majirani wakaamka [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Karibu kundini..kuna wine inaitwa namaqua..glass mbili tu unakua satisfied na unalewa vzuri sana..tofauti na hapo tumia henken au windhoek hutopata hangover asbhi wala kichwa kuuma..so ratiba yako haitawahi haribika mida ya asbhi.
sawaa mkuu tupange appointment mkuu
 
Karibu kundini..kuna wine inaitwa namaqua..glass mbili tu unakua satisfied na unalewa vzuri sana..tofauti na hapo tumia henken au windhoek hutopata hangover asbhi wala kichwa kuuma..so ratiba yako haitawahi haribika mida ya asbhi.

Mkuu kama nakuona vile ...mate yamenijaaa mdomoni sababu ya Heineken
 
Piga GONGO, KALIINYA, WHISKY, NA NYINGINE KALI NDO ZENYE UHONDO ZAIDI, UKIFIKA HOSPITALI KUTIBIWA MAPAFU YATAKAYOKUWA YAMEOZA, UWASALIMIE UTAKAO WAKUTA HUKO WAAMBIE MIRINDA NYEUSI YA JERO TYUH, MAZIWA MGANDO YENYE ASALI NA VINYWAJI VINGINE VITAMU N VILECI CYA AINA NYINGINE.UWE NA UNYWAJI MWEMA NDG.
 
najisikia huru sana baada ya kuacha kunywa pombe, sipotezi vitu na kiukweli fedha zinatosha ukilinganisha na mwanzo.
 
Piga GONGO, KALIINYA, WHISKY, NA NYINGINE KALI NDO ZENYE UHONDO ZAIDI, UKIFIKA HOSPITALI KUTIBIWA MAPAFU YATAKAYOKUWA YAMEOZA, UWASALIMIE UTAKAO WAKUTA HUKO WAAMBIE MIRINDA NYEUSI YA JERO TYUH, MAZIWA MGANDO YENYE ASALI NA VINYWAJI VINGINE VITAMU N VILECI CYA AINA NYINGINE.UWE NA UNYWAJI MWEMA NDG.
sawa bishura nashkuruu sanaa kwa ushaurii wakoo
 
Back
Top Bottom