haya nakusamehe ila sharti ni moja tu naomba zawadi nikusamehe,kama hutaki naanza tena,haya unanipa hunipi????????????
NAKUPA HARAKA SANA! ahsante kwa kunisamehe! mwaka mpya unakaribia na sherehe zake kedekede, unataka zawadi gani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya nakusamehe ila sharti ni moja tu naomba zawadi nikusamehe,kama hutaki naanza tena,haya unanipa hunipi????????????
Akhaaa mi kwenye upishi tu labda nikuulize wewe umempeleka wapi maanake huku jikoni hata kufika hajafika.
nimeipenda..af mm chamaless kwaiyo aje na mwana ccm apa,cdm,nccr
nakupa haraka sana! Ahsante kwa kunisamehe! Mwaka mpya unakaribia na sherehe zake kedekede, unataka zawadi gani!
ina maana hujamteka hapo jikoni! Acha utani bhana!
-----ok nimekusikia mkuu, nitatekeleza km nilivyoahidi!Yeyote ile ila sharti iwe nzuri vinginevyo nalianzisha tena.
------najua sana, jikoni unatishaje weye balaaaa!!!!Akahhaa mi nakumteka mtu wapi na wapi labda kama ametekwa na mapishi yangu si unanijua lakini nikikaaga jikoni??????????
OK! nakupa kingine!
ili raisi awe raisi inabidi awe na kura zaidi ya aslimia 50! vp hapo umeipenda!
nimeipenda pia..nitaitafta yote niisome
Nina access hadi kwenye inbox yako ooh,you cant run from NIGGAAfu wewe uchokozi wako huoooo!!!!!!!!!!!Nielekezee pm ndo itakuwa bomba ili hata kama sielewi ukinipa viboko viwili vitatu iwage siri yangu na sio hapa public hadi akina NIGGA wanione na wanichekee aku mie sitaki,twenzetu kuleeeeeeeeee pm.
heheeeeeeeeheeeeeee umeona eeehh?????????sasa je???????-----ok nimekusikia mkuu, nitatekeleza km nilivyoahidi!
------najua sana, jikoni unatishaje weye balaaaa!!!!
heheeeeeeeeheeeeeee umeona eeehh?????????sasa je???????
haaaaaaaaahaaaaaaaahaaaaaaa TheDealer unanipa raha jamani mwenzio.
mmmhhh TheDealer mbona unanishtua tena mwenzio nisije juta kwa nini?we ni mtu mbaya,mkatili au????????????asante afu chakuala cha mgeni hiki hapanafarijika sana kusikia kuwa unafurahi! ili usijejuta kumfahamu binadamu kama mimi! haya pole kwa furaha eee mtoto mzuri!!!!!! ila mbona hukunionyesha chakula cha mgeni???
mmmhhh TheDealer mbona unanishtua tena mwenzio nisije juta kwa nini?we ni mtu mbaya,mkatili au????????????asante afu chakuala cha mgeni hiki hapanafarijika sana kusikia kuwa unafurahi! ili usijejuta kumfahamu binadamu kama mimi! haya pole kwa furaha eee mtoto mzuri!!!!!! ila mbona hukunionyesha chakula cha mgeni???
nafarijika sana kusikia kuwa unafurahi! ili usijejuta kumfahamu binadamu kama mimi! haya pole kwa furaha eee mtoto mzuri!!!!!! ila mbona hukunionyesha chakula cha mgeni???
heeeeeeeeeee Blue G mm sio mutu mubaya bhana! nilimaanisha kuwa nafarijika sana kuona nakufurahisha! ngoja kwanza nionje chakula!mmmhhh TheDealer mbona unanishtua tena mwenzio nisije juta kwa nini?we ni mtu mbaya,mkatili au????????????asante afu chakuala cha mgeni hiki hapasema kizuri kibaya afu nishaandaa mezani njoo tule basi na usimwache mgeni sawa????????????![]()
mmmhhh TheDealer mbona unanishtua tena mwenzio nisije juta kwa nini?we ni mtu mbaya,mkatili au????????????asante afu chakuala cha mgeni hiki hapasema kizuri kibaya afu nishaandaa mezani njoo tule basi na usimwache mgeni sawa????????????![]()