Hatimaye nimejiunga nanyi!

Hatimaye nimejiunga nanyi!

haya nakusamehe ila sharti ni moja tu naomba zawadi nikusamehe,kama hutaki naanza tena,haya unanipa hunipi????????????

NAKUPA HARAKA SANA! ahsante kwa kunisamehe! mwaka mpya unakaribia na sherehe zake kedekede, unataka zawadi gani!
 
Afu wewe uchokozi wako huoooo!!!!!!!!!!!Nielekezee pm ndo itakuwa bomba ili hata kama sielewi ukinipa viboko viwili vitatu iwage siri yangu na sio hapa public hadi akina NIGGA wanione na wanichekee aku mie sitaki,twenzetu kuleeeeeeeeee pm.
Nina access hadi kwenye inbox yako ooh,you cant run from NIGGA
AT Blue G
 
Last edited by a moderator:
Nina access hadi kwenye inbox yako ooh,you cant run from NIGGA
AT Blue G
haaaaaaaaahaaaaaaaahaaaaaaaa NIGGA banah nimechekaje?????????ila kiukweli kidogo umeniopgopesha,haya basi yaishe sirudii tena.
 
Last edited by a moderator:
haaaaaaaaahaaaaaaaahaaaaaaa TheDealer unanipa raha jamani mwenzio.

nafarijika sana kusikia kuwa unafurahi! ili usijejuta kumfahamu binadamu kama mimi! haya pole kwa furaha eee mtoto mzuri!!!!!! ila mbona hukunionyesha chakula cha mgeni???
 
nafarijika sana kusikia kuwa unafurahi! ili usijejuta kumfahamu binadamu kama mimi! haya pole kwa furaha eee mtoto mzuri!!!!!! ila mbona hukunionyesha chakula cha mgeni???
mmmhhh TheDealer mbona unanishtua tena mwenzio nisije juta kwa nini?we ni mtu mbaya,mkatili au????????????asante afu chakuala cha mgeni hiki hapa
4XJPxfP4OEZZb9Jw0AAAAASUVORK5CYII=
sema kizuri kibaya afu nishaandaa mezani njoo tule basi na usimwache mgeni sawa????????????
 
Last edited by a moderator:
nafarijika sana kusikia kuwa unafurahi! ili usijejuta kumfahamu binadamu kama mimi! haya pole kwa furaha eee mtoto mzuri!!!!!! ila mbona hukunionyesha chakula cha mgeni???
mmmhhh TheDealer mbona unanishtua tena mwenzio nisije juta kwa nini?we ni mtu mbaya,mkatili au????????????asante afu chakuala cha mgeni hiki hapa
4XJPxfP4OEZZb9Jw0AAAAASUVORK5CYII=
sema kizuri kibaya afu nishaandaa mezani njoo tule basi na usimwache mgeni sawa????????????
 
Last edited by a moderator:
nafarijika sana kusikia kuwa unafurahi! ili usijejuta kumfahamu binadamu kama mimi! haya pole kwa furaha eee mtoto mzuri!!!!!! ila mbona hukunionyesha chakula cha mgeni???

mmmhhh TheDealer mbona unanishtua tena mwenzio nisije juta kwa nini?we ni mtu mbaya,mkatili au????????????asante afu chakuala cha mgeni hiki hapa
gt6
sema kizuri kibaya afu nishaandaa mezani njoo tule basi na usimwache mgeni sawa????????????
heeeeeeeeeee Blue G mm sio mutu mubaya bhana! nilimaanisha kuwa nafarijika sana kuona nakufurahisha! ngoja kwanza nionje chakula!
 
Last edited by a moderator:
mmmhhh TheDealer mbona unanishtua tena mwenzio nisije juta kwa nini?we ni mtu mbaya,mkatili au????????????asante afu chakuala cha mgeni hiki hapa
gt6
sema kizuri kibaya afu nishaandaa mezani njoo tule basi na usimwache mgeni sawa????????????

unajua wewe Blue G una utani, na unajua kabisa sasa hv ni lunch time! sasa mbona chakula sikioni naona alama ya X nyekundu tu!? au ndio chakula chenyewe!!!!!

bora sikuja na mgeni, ningeambikaje? au ndio njama zako best, pamoja na kukuahidi zawadi nzurunzuri kweli bado unanifanyia hivyo, aibu yangu nitaweka wapi sasa mbele ya mgeni jamani!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom