The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Mwezi December 2021 nilileta hii mada hapa kwamba natarajia kua baba, na kweli ndani ya mwezi January 2022 nikapata nafasi ya kua baba Kweli.
www.jamiiforums.com
Girl friend wangu alijifungua salama Salmin mtoto imara wa kiume na nikajisikia faraja kiasi kikubwa kua baba. Niseme ukweli kuna raha ya kua baba ama kuitwa baba. Natamani sasa nipate mtoto mwingine kwa furaha niliyonayo.
Anyway, mimi nimekua bila baba, nilikulia kwa mjomba wangu ambae alinipigisha kwenye tanuru la moto hadi kufika hapa nilipofika. Mimi as long as niko hai nitahakikisha huyu bwana mdogo anapata mahitaji yake yote ya muhimu.
Kwa vile sipendi huu mfumo wetu wa elimu nitahakikisha anasoma either nje ya nchi ama ndani ya nchi lakini sio kwa mtaala wa NECTA huu unaoua thinking, reasoning na unaojaza watu vitu visivyo na msingi kwenye maisha karne hii ya 21.
Wababa wote hongereni, naomba mnikaribishe kwenye chama lenu kubwa.
Baba mtarajiwa, nini natakiwa kufanya?
Bima tumia yako ndio heshima ya kiumeni mtoto anatumia ubini wako kwa nini akatiwe bima ya mama? Pia hata kama mama yake ana uwezo wa kununua ndege gharama zote za kutunza mtoto anatoa baba. Utagongewa mchana kweupe kama una akili utakuwa umenielewa Sawa mkuu. Ila nakukumbusha, sio mke wangu...
Girl friend wangu alijifungua salama Salmin mtoto imara wa kiume na nikajisikia faraja kiasi kikubwa kua baba. Niseme ukweli kuna raha ya kua baba ama kuitwa baba. Natamani sasa nipate mtoto mwingine kwa furaha niliyonayo.
Anyway, mimi nimekua bila baba, nilikulia kwa mjomba wangu ambae alinipigisha kwenye tanuru la moto hadi kufika hapa nilipofika. Mimi as long as niko hai nitahakikisha huyu bwana mdogo anapata mahitaji yake yote ya muhimu.
Kwa vile sipendi huu mfumo wetu wa elimu nitahakikisha anasoma either nje ya nchi ama ndani ya nchi lakini sio kwa mtaala wa NECTA huu unaoua thinking, reasoning na unaojaza watu vitu visivyo na msingi kwenye maisha karne hii ya 21.
Wababa wote hongereni, naomba mnikaribishe kwenye chama lenu kubwa.