Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Kila la kheri kaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂🙌Hamna tofauti
Ni nyie tuWhy,mi nilijua ni siye walimu tu?
😂😂😂😂🐒Ni nyie tu
This is rubbish!!!! Jeshi ndio limefika hapa??Namshukuru Mungu, leo nimepokea kamisheni yangu hapa TMA Monduli.
Nipo tayari sasa kulitumikia taifa.
CongratsNamshukuru Mungu, leo nimepokea kamisheni yangu hapa TMA Monduli.
Nipo tayari sasa kulitumikia taifa.
Wewe huna maadili ya Kijeshi kabisa na huna kifua cha kukaa Jeshini. Hulali na jambo tayari ushakimbilia mtandaoni kuanika?? Watoto wa Single Mothers mna matatizo sana. Jifunze kuishi misingi ya kijeshi achana na kutafuta sifa kwa raiaNamshukuru Mungu, leo nimepokea kamisheni yangu hapa TMA Monduli.
Nipo tayari sasa kulitumikia taifa.
Mkuu, mbona mdau hajafanya kosa lolote? Wewe hufurahii kusikia mafanikio ya mwenzako?This is rubbish!!!! Jeshi ndio limefika hapa??
Walaumu kaunda suti.Bandari zinaporwa wao wako wanaangalia!
Mdau hajafanya jambo lolote baya mkuu! Isitoshe, alichokifanya kinaweza kikawa hamasa kwa watu wengine. Yumkini kuna watu wanaweza wakasaidika na ushuhuda wake wa mafanikio.Wewe huna maadili ya Kijeshi kabisa na huna kifua cha kukaa Jeshini. Hulali na jambo tayari ushakimbilia mtandaoni kuanika?? Watoto wa Single Mothers mna matatizo sana. Jifunze kuishi misingi ya kijeshi achana na kutafuta sifa kwa raia
Bila picha ni chaiNamshukuru Mungu, leo nimepokea kamisheni yangu hapa TMA Monduli.
Nipo tayari sasa kulitumikia taifa.
Kuna wenzako huku ni kugombania wanawake wa bar na raia, na kulewaNamshukuru Mungu, leo nimepokea kamisheni yangu hapa TMA Monduli.
Nipo tayari sasa kulitumikia taifa.
Huyu hahusiki kwenye uonevu, ndo Kwanza Leo anakuwa mwanajeshi rasmi. Lini kafanya uonevu kwa raia? Acha kukariri.Kuonea watu, wanajeshi mnaonea raia badala ya kwenda congo mkaonesha ubabe. All in all HONGERA SANA