Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
swali zuri, lakini waulize wanaowapeleka wanajeshi huko.Kwanini huko Congo wasijifunze nao kujilinda
Bandari imeuzwa kwa nguvu alafu nyie wenye jukumu la kulinda mipaka ya nchi mpo tu mnashindania kupanda vyeo.Namshukuru Mungu, leo nimepokea kamisheni yangu hapa TMA Monduli.
Nipo tayari sasa kulitumikia taifa.
extremely hopeless and stupid. Komboa bandari zetuhamna msaada Kwa nchi zaidi ya vyeo vya uchawa ,mnalinda nini wakati wananchi wameporwa rasilimali zote?Nataka kufa Kwa ukweli wanajeshi wa watanzania ni hopeless
Maafande wa Tanzania wengi ni mapopoma tu! Nchi inatafunwa yenyewe yapo tu yametegeshea uteuzi! Hopeless kabisa!Kumbe humu ndani kuna maafande? Wazee wa bisibisi!
Hongera with a comment...... definitely amefuzu kupongezwa ni jadi, LAKINI, unakwenda kufanya nini kwa ulioapa kuwalinda? kuwapiga na kuonesha ubabehiyo hongera si ungeitoa tu moja kwa moja 🤣🤣
Jambo mkuuHuyu ni 98% tapeli
Kama ni mwanajeshi kweli basi kakiuka maadili ya kijeshi.
Kwann unahisi ni raia? Awapige vipi?kwani amevunja sheria kufurahia kazi yake na uzalendoNimuone wivu Mjinga huyu ni raia anatengeneza mazingira ya kuwapiga watu tukio
Masikini wewe,mna wivu na chuki,
Huna akiliDuuuhh
Hakuna afisa mpumbavu kiasi hicho.
Kule ni jando, ukitoka kule huwezi hata kutembea na gwanda mtaani.
Askari ndio wanaweza kufanya ulichokifanya wewe hapa na si afisa
Nyie mataahira kweli,kwani kapost kavaa gwanda au!? Mazuzu kweli nyieNimeshangaa Sana Sana Ila Tutaujua Ukweli Tu Ni Suala La Muda
Hakuna anayethubutu kumroga mjeshi.Usijeenda kwenu na uniform utarogwa.
Hakuna anayethubutu kumroga mjeshi.
Hajipendi?
Mungu akutangulie ktk hatua zako za kila siku.Namshukuru Mungu, leo nimepokea kamisheni yangu hapa TMA Monduli.
Nipo tayari sasa kulitumikia taifa.
Nawe umefata nn hukuGaguti aliwaambia muachane na mitandao ya kijamii.