Hatimaye nimemaliza salama miaka mitano JF bila Ban

Hahahahaaa
Nimekaa miaka 6 bila ban, eti nimekula ban mwezi uliopita tena kwa kumwita mtu m.se.nge [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huo ndo ukorofi mwenza
Mie mpole sana mwenza, walinionea tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Tulikuwa tuna chit chat kwenye uzi wa mtu, akatusemelea kwa mods nikaenda kuchit chat tena hukohuko alikotusemelea[emoji85][emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…