Kesho ntakutengenezea lubisi au hiyo hutumiiNikikudanganya utajua tu, lakini kweli niko okay. Hela sina ndiyo maana sijanywa.
Asa kama jf yenyewe unaingia kwa machale ata ukiingia huchangii Uzi kama mimi unakua msomaji tu unapewaje ban?Tarehe 24.9.2014 nilijiunga rasmi Jamii Forum baada ya kuwa naingia nakucheck kama mwaka hivi.
Kilichonifanya nijoin ni kujibu comments za watu tu.
KuNa muda naona comment imenifurahisha ila nashindwa kuijibu mpaka siku nilipokata shauri la kujiunga uanachama.
Kwa kweli kumaliza miaka mitano bila BAN wala kufungua ID ya pili sio jambo dogo.
Wengi huku wana maID manne matano ila mie hii moja tu na imedumu.
Kuna siku nilinusurika Ban naona ni Mungu alikua nami maana wenzangu karibu wote walipigwa ban ila mimi naona mods walinisahau.
Nilichojifunza kuepuka ban ni kuvumilia upumbavu wa kila mtu anaekukwaza na ukishindwa mjibu kistaarabu.
Kesho ntakutengenezea lubisi au hiyo hutumii
Pombe za kienyeji hapana, labda gongo tu.
Atakua mwanaume huyo
Nayo najua kuiandaa, ntakuandalia mjukuu wangu usisononeke
Gongo noma inachoma mpaka lips,, ila nikiwaga preg ndo kinywaji changuHa ha ha, mwaka 2015 nilienda bush, nikakuta jamaa wanapiga gongo, nikanywa kichupa kidogo kama cha konyagi ndogo vile.
Noma, nilipofika home nililala masaa zaidi ya 12, toka hapo nikajua gongo ni moto sana, nilijua ni kama Konyagi ama Value, kumbe ina alcohol ya 70+
Gongo noma inachoma mpaka lips,, ila nikiwaga preg ndo kinywaji changu
Kwenye yote uliyojiuliza hakuna jibu sahihi hata mojaEti bila mwanamke humu...
Nimeitafakari hii sentence nikasema okay, labda sijaielewa.
Kwamba humu wanawake ni kukizolea, au walioko humu ni wa maajabu sana au! Anyway sawa.
Tarehe 24.9.2014 nilijiunga rasmi Jamii Forum baada ya kuwa naingia nakucheck kama mwaka hivi.
Kilichonifanya nijoin ni kujibu comments za watu tu.
KuNa muda naona comment imenifurahisha ila nashindwa kuijibu mpaka siku nilipokata shauri la kujiunga uanachama.
Kwa kweli kumaliza miaka mitano bila BAN wala kufungua ID ya pili sio jambo dogo.
Wengi huku wana maID manne matano ila mie hii moja tu na imedumu.
Kuna siku nilinusurika Ban naona ni Mungu alikua nami maana wenzangu karibu wote walipigwa ban ila mimi naona mods walinisahau.
Nilichojifunza kuepuka ban ni kuvumilia upumbavu wa kila mtu anaekukwaza na ukishindwa mjibu kistaarabu.
Kwenye yote uliyojiuliza hakuna jibu sahihi hata moja
ππππ
Watu mna kuza vitu vidogo!Kuna siku nilinusurika Ban naona ni Mungu alikua nami maana wenzangu karibu wote walipigwa ban ila mimi naona mods walinisahau
Mwenyewe[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Hahaaaa..... Ilikuwa jokes tu.Kwenye profile ya mhusika (click hiyo avatar yako). Kwako naona ulijiunga Aug 6 2015