Hatimaye nimemaliza salama miaka mitano JF bila Ban

Hatimaye nimemaliza salama miaka mitano JF bila Ban

Tarehe 24.9.2014 nilijiunga rasmi Jamii Forum baada ya kuwa naingia nakucheck kama mwaka hivi.

Kilichonifanya nijoin ni kujibu comments za watu tu.
KuNa muda naona comment imenifurahisha ila nashindwa kuijibu mpaka siku nilipokata shauri la kujiunga uanachama.

Kwa kweli kumaliza miaka mitano bila BAN wala kufungua ID ya pili sio jambo dogo.
Wengi huku wana maID manne matano ila mie hii moja tu na imedumu.

Kuna siku nilinusurika Ban naona ni Mungu alikua nami maana wenzangu karibu wote walipigwa ban ila mimi naona mods walinisahau.

Nilichojifunza kuepuka ban ni kuvumilia upumbavu wa kila mtu anaekukwaza na ukishindwa mjibu kistaarabu.
Asa kama jf yenyewe unaingia kwa machale ata ukiingia huchangii Uzi kama mimi unakua msomaji tu unapewaje ban?
 
Nayo najua kuiandaa, ntakuandalia mjukuu wangu usisononeke

Ha ha ha, mwaka 2015 nilienda bush, nikakuta jamaa wanapiga gongo, nikanywa kichupa kidogo kama cha konyagi ndogo vile.

Noma, nilipofika home nililala masaa zaidi ya 12, toka hapo nikajua gongo ni moto sana, nilijua ni kama Konyagi ama Value, kumbe ina alcohol ya 70+
 
Ha ha ha, mwaka 2015 nilienda bush, nikakuta jamaa wanapiga gongo, nikanywa kichupa kidogo kama cha konyagi ndogo vile.

Noma, nilipofika home nililala masaa zaidi ya 12, toka hapo nikajua gongo ni moto sana, nilijua ni kama Konyagi ama Value, kumbe ina alcohol ya 70+
Gongo noma inachoma mpaka lips,, ila nikiwaga preg ndo kinywaji changu
 
Na pia kingine kuvumilia upumbavu wa thread za watu inasaidia sana..
Hongera
Tarehe 24.9.2014 nilijiunga rasmi Jamii Forum baada ya kuwa naingia nakucheck kama mwaka hivi.

Kilichonifanya nijoin ni kujibu comments za watu tu.
KuNa muda naona comment imenifurahisha ila nashindwa kuijibu mpaka siku nilipokata shauri la kujiunga uanachama.

Kwa kweli kumaliza miaka mitano bila BAN wala kufungua ID ya pili sio jambo dogo.
Wengi huku wana maID manne matano ila mie hii moja tu na imedumu.

Kuna siku nilinusurika Ban naona ni Mungu alikua nami maana wenzangu karibu wote walipigwa ban ila mimi naona mods walinisahau.

Nilichojifunza kuepuka ban ni kuvumilia upumbavu wa kila mtu anaekukwaza na ukishindwa mjibu kistaarabu.
 
Back
Top Bottom