Hatimaye nimemaliza salama miaka mitano JF bila Ban

Hatimaye nimemaliza salama miaka mitano JF bila Ban

Hizi ID pia zina-reflect umri wa watu walio wengi wenye ID kongwe zenye zaidi ya miaka mitano asilimia kubwa ni watu wazima umri wao umevuka miaka 25, kwa hiyo sio rahisi kupata ban maana mtu anabehave kiheshima zaidi. Huwa nahamaki sana mtu mwenye ID kongwe aki-misbehave.
Kuna Id kongwe humu za watoto warembo hadi ukikutana nao unabaki mdomo wazi.
 
Tarehe 24.9.2014 nilijiunga rasmi Jamii Forum baada ya kuwa naingia nakucheck kama mwaka hivi.

Kilichonifanya nijoin ni kujibu comments za watu tu.
KuNa muda naona comment imenifurahisha ila nashindwa kuijibu mpaka siku nilipokata shauri la kujiunga uanachama.

Kwa kweli kumaliza miaka mitano bila BAN wala kufungua ID ya pili sio jambo dogo.
Wengi huku wana maID manne matano ila mie hii moja tu na imedumu.

Kuna siku nilinusurika Ban naona ni Mungu alikua nami maana wenzangu karibu wote walipigwa ban ila mimi naona mods walinisahau.

Nilichojifunza kuepuka ban ni kuvumilia upumbavu wa kila mtu anaekukwaza na ukishindwa mjibu kistaarabu.
hongera sana ila kuna roho wa mungu anataka nikutafutie ban ili ujifunze maisha ya kupigwa ban kidogo
 
Haipo siku nyingi sana.

Wewe mkorofi mchumba haiwezekani ule ban ID zote hizo
Hivi blog ya Sintah bado ipo? Nina kama miaka 7 hivi sijaingia kule.

Huu uzi nadhani haunihusu, maana nina ID kama 7 zote zina ban.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]hongera sana miye ban ya kwanza na mdada anaitwa Kimberly sijui yuko wapi siku hizi kisa Ali Kiba na Daimond mwaka 2016 ya wiki,ya pili nilijichanganya siasani nkawekwa dentetion siku moja,ya tatu ndo zile za mkumbooo uleee wewe ukanusurika siku hizi jf sijui kwa nini sio sana kuingia maana wala siko busy!kivile
Hahahaha umenikumbusha mbali.
Kipindi hicho niliogea ban mpaka. Nikitoka tuu kwenye ban siku mbili nyingi narudi tena.

Utoto raha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haipo siku nyingi sana.

Wewe mkorofi mchumba haiwezekani ule ban ID zote hizo

Tatu ziliunganishwa pamoja, ndo zikapigwa ban.

Hii inakula ban hata zingine sizielewi, na moja ya back up siikumbuki password wala email.

Na hii natamani ile umeme nipumzike JF tu.
 
Tarehe 24.9.2014 nilijiunga rasmi Jamii Forum baada ya kuwa naingia nakucheck kama mwaka hivi.

Kilichonifanya nijoin ni kujibu comments za watu tu.
KuNa muda naona comment imenifurahisha ila nashindwa kuijibu mpaka siku nilipokata shauri la kujiunga uanachama.

Kwa kweli kumaliza miaka mitano bila BAN wala kufungua ID ya pili sio jambo dogo.
Wengi huku wana maID manne matano ila mie hii moja tu na imedumu.

Kuna siku nilinusurika Ban naona ni Mungu alikua nami maana wenzangu karibu wote walipigwa ban ila mimi naona mods walinisahau.

Nilichojifunza kuepuka ban ni kuvumilia upumbavu wa kila mtu anaekukwaza na ukishindwa mjibu kistaarabu.
Hongera sana kwa kutimiza miaka mi 5 bila ban.

Mimi nimekamilisha miaka mitano mwezi jana. Kweli nishazeeka.
 
Usikute miongoni mwa hizo ID zako kuna unazonitongoza nazo PM.
Maana kuna iD inanitongoza ina sound kama zako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hahaha, nishazisahau password. Siku hizi nimebaki na hii na ile nyingine.

Halafu hata siwezi kutongoza PM, nakutafuta tunaonana, nikiahakufanyia assessment nakutongoza macho kwa macho, huyo siyo mimi.
 
Tarehe 24.9.2014 nilijiunga rasmi Jamii Forum baada ya kuwa naingia nakucheck kama mwaka hivi.

Kilichonifanya nijoin ni kujibu comments za watu tu.
KuNa muda naona comment imenifurahisha ila nashindwa kuijibu mpaka siku nilipokata shauri la kujiunga uanachama.

Kwa kweli kumaliza miaka mitano bila BAN wala kufungua ID ya pili sio jambo dogo.
Wengi huku wana maID manne matano ila mie hii moja tu na imedumu.

Kuna siku nilinusurika Ban naona ni Mungu alikua nami maana wenzangu karibu wote walipigwa ban ila mimi naona mods walinisahau.

Nilichojifunza kuepuka ban ni kuvumilia upumbavu wa kila mtu anaekukwaza na ukishindwa mjibu kistaarabu.

Hongera sana mdada, ni miongoni mwa watu walioweza kuchangamsha majukwaa mbalimbali hapa JF!! Hongera
 
Back
Top Bottom