You're welcomeThank you.
You're welcome
Yeah, Sure.Really?
Hahaha, nishazisahau password. Siku hizi nimebaki na hii na ile nyingine.
Halafu hata siwezi kutongoza PM, nakutafuta tunaonana, nikiahakufanyia assessment nakutongoza macho kwa macho, huyo siyo mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinikumbusheee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe nami miaka tano sasa jf [emoji23][emoji23][emoji23] ila ban zamani nilichezea mnoo kuna moja nilipewa ya miezi mingi weee nikafanya manuva ikafunguliwa kwa hii hii ya dina