kama huamini angalia
Naingia A'level kwa mbwembwe tena shuleni wameniambia naweza kurudi hapo hapo A'level hakuna haja ya kwenda mishule ya Serikali.
[TD="width: 4%"]
[/TD]
[TD="width: 58%"][/TD]
[TD="width: 6%"] S0534/0130
[/TD]
[TD="width: 4%"] M
[/TD]
[TD="width: 6%"] 14
[/TD]
[TD="width: 4%"] I
[/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-B HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B FREN-B PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-B
[/TD]
mnaochonga kuwa tumependelewa poa tu si ndo tunajiandaa kuingia A'level hapo ndo nitakomaa mpaka nigonge Div I ya Point 3 Fom 6.
Tena hapo napiga PCB maana nilikuwa na dream ya kuja kusoma Medicine abroad sasa naanza kukomaa ili nitimize ndoto yangu. Soon nitakuwa Dokta jamani.
Tena hapo napiga PCB maana nilikuwa na dream ya kuja kusoma Medicine abroad sasa naanza kukomaa ili nitimize ndoto yangu. Soon nitakuwa Dokta jamani.
Bora ungenyamaza ndugu yangu, je wewe unahisi kuwa umefaulu kwa haki na kwa juhudi zako binafsi? matokeo yako halisi ni yale ya kwanza haya maengine ni msaada wa viini macho tu, hivyo wewe ni kilaza na usithubhutu kusema wengine wamefeli hususani wale waliokua wanasoma sana. Unabahati Taifa limekufukiria alafu unatamba eti unatisha, unatisha na matokeo fafa haya, jaribu kuwa na aibuuuuuu, wewe ni kilaza na ulifeli...... shabashiiiiiii
Kama haukuwa kilaza basi awali ulionewa, ila kama ulikuwa kilaza halafu matokeo ndiyo hayo, Hiyo PCB usiende kabisa.kama huamini angalia
Naingia A'level kwa mbwembwe tena shuleni wameniambia naweza kurudi hapo hapo A'level hakuna haja ya kwenda mishule ya Serikali.
[TD="width: 58%"][/TD]
S0534/0130
[TD="width: 4%"] M [/TD]
[TD="width: 6%"] 14 [/TD]
[TD="width: 4%"] I [/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-B HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B FREN-B PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-B [/TD]
kumbe umepiga st anthony's mbagala mkuu unamjua deusdedit manyama