Bora ungenyamaza ndugu yangu, je wewe unahisi kuwa umefaulu kwa haki na kwa juhudi zako binafsi? matokeo yako halisi ni yale ya kwanza haya maengine ni msaada wa viini macho tu, hivyo wewe ni kilaza na usithubhutu kusema wengine wamefeli hususani wale waliokua wanasoma sana. Unabahati Taifa limekufukiria alafu unatamba eti unatisha, unatisha na matokeo fafa haya, jaribu kuwa na aibuuuuuu, wewe ni kilaza na ulifeli...... shabashiiiiiii