HATIMAYE NIMEPATA DIV I: 14 kutoka DIV 4:31 na

HATIMAYE NIMEPATA DIV I: 14 kutoka DIV 4:31 na

Ujatisha wala nini acha kujifariji wewe ni kilaza tuuuuuu
AH AH SEMA SISHANGAI KUNA JAMAA YANGU ALITOKA DIVIDION 3 YA KUMI NA TAN O HADI DIV 1 YA 4 UNAAMBIWA UKIJUA KUDEAL NA VIONGOZI NECTA WATU WANABADILI KUANZIA CHETI HADI KWE SYSTEM..:smash:.........
 
Wadau nilishakata tamaa ya maisha baada ya kupata DIV 4 ya 31 hatimaye matokeo mapya yametoka nina DIV I point 14 nina uhakika wa kwenda A'level. Daaah Nimetisha wakubwa. Kuna masela walikuwa wanapiga msuli wa kutisha wamegonga O (ZIRO) ha ha ha!!! Ngoja nikajipongeze daaaahhhhh. MZUKAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!

Dogo haya mambo ni ya kawaida kabisa, hata sisi tumepita huko huko; angalia usije ukaangukia pua uko mbele ya safari.
Halafu kwanini unamwaga uwongo hapa Jamvini?
 
Dogo weka matokeo mapya na yale ya awali,sije ikawa unatupiga changa la macho,ili ionekane baraza siyo watu makini.








WE
Matokeo yake haya hapa. [TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S0534/0130
[/TD]

[TD="width: 4%"]
M
[/TD]

[TD="width: 22%"]
FRANK KIHAMBA
[/TD]

[TD="width: 6%"]
29
[/TD]

[TD="width: 4%"]
IV
[/TD]

[TD="width: 58%"]
CIV-D HIST-F GEO-D PHY EDU-D KISW-F ENGL-C BIO-D B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-F
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
abishe sasa
 
Back
Top Bottom