Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
hawezi akataja namba yake real lazima kataja ya mwingine
Wadau nilishakata tamaa ya maisha baada ya kupata DIV 4 ya 31 hatimaye matokeo mapya yametoka nina DIV I point 14 nina uhakika wa kwenda A'level. Daaah Nimetisha wakubwa. Kuna masela walikuwa wanapiga msuli wa kutisha wamegonga O (ZIRO) ha ha ha!!! Ngoja nikajipongeze daaaahhhhh. MZUKAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!
wewe hata ukija kuwa dokta utakuwa walewale madokta mtu anaumwa mguu unamfanyia operesheni ya kichwa!
sorry UNDENIABLE sikuwa hewani nilikuwa busy kidogo, unafungua NECTA then click matokeo ya kidato cha nne 2013Aine umepata link? naomba na mimi nataka nitazame!
nimeshakuona mjinga. ukija kupata hiyo mi ntakulipa. wanaopataga hizo hata siku moja huwasikii wakipumbika kama wewe.mnaochonga kuwa tumependelewa poa tu si ndo tunajiandaa kuingia A'level hapo ndo nitakomaa mpaka nigonge Div I ya Point 3 Fom 6.
Wadau nilishakata tamaa ya maisha baada ya kupata DIV 4 ya 31 hatimaye matokeo mapya yametoka nina DIV I point 14 nina uhakika wa kwenda A'level. Daaah Nimetisha wakubwa. Kuna masela walikuwa wanapiga msuli wa kutisha wamegonga O (ZIRO) ha ha ha!!! Ngoja nikajipongeze daaaahhhhh. MZUKAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!
Wadau nilishakata tamaa ya maisha baada ya kupata DIV 4 ya 31 hatimaye matokeo mapya yametoka nina DIV I point 14 nina uhakika wa kwenda A'level. Daaah Nimetisha wakubwa. Kuna masela walikuwa wanapiga msuli wa kutisha wamegonga O (ZIRO) ha ha ha!!! Ngoja nikajipongeze daaaahhhhh. MZUKAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!
naona ni st.anthonys hiyo aisee..ila mbona this is too good to be true..aiseee...we sema ulikua na two ya mwisho ndo imekua hivyo sio 4 mpaka 1 bhana alaaaaaahhh
Bogus! Fake! Stupid! Childish! Juvenile! It is a bad joke that has made people angry. Huo mzuka actually ni kichaa ambacho hujakitambua. Nenda kwa mganga wa kienyeji labda akusaidie.
Div 4 ya 31pts scenario D-D-D-D-F-F-F-F-F
Div 1 ya 14 pts scenario B-B-B-B-B-B-B
Kwa standardization ni mathematical impossibility ya kupandisha F's to B's unless babako alitishia kumng'oa kucha mtu.