AH AH SEMA SISHANGAI KUNA JAMAA YANGU ALITOKA DIVIDION 3 YA KUMI NA TAN O HADI DIV 1 YA 4 UNAAMBIWA UKIJUA KUDEAL NA VIONGOZI NECTA WATU WANABADILI KUANZIA CHETI HADI KWE SYSTEM..:smash:.........Ujatisha wala nini acha kujifariji wewe ni kilaza tuuuuuu
Wadau nilishakata tamaa ya maisha baada ya kupata DIV 4 ya 31 hatimaye matokeo mapya yametoka nina DIV I point 14 nina uhakika wa kwenda A'level. Daaah Nimetisha wakubwa. Kuna masela walikuwa wanapiga msuli wa kutisha wamegonga O (ZIRO) ha ha ha!!! Ngoja nikajipongeze daaaahhhhh. MZUKAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!
Matokeo yake haya hapa. [TABLE="width: 70%"]Dogo weka matokeo mapya na yale ya awali,sije ikawa unatupiga changa la macho,ili ionekane baraza siyo watu makini.
WE